Customer Privacy: JF itaheshimika daima Vs tiGO Tanzania

ukifuatilia vizuri hakuna kampuni yenye kuhusishwa na jina baya zaidi kama hawa jamaa.

"jina la kampuni na sehemu ya kutolea kinyesi"
 
Tigo wanatisha, tena wanasema bila kificho, kulinda usiri wa Mteja sio priority yao. Basi wangeonesha hata kujali kidogo, walao kwa kutaka kibali cha mahakama, japo nazo ni wale wale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…