CV ya Hersi rais wa yanga ikoje?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Hivi ni kweli ni engineer?
Alisoma nchi gani?Au alisomea Somalia?
Huko GSM alifanya kazi gani?

Nimepatwa na mashaka iwapo huyu jamaa kama hata form 4 alifaulu.

Huu uinjinia isije kuwa alipewa na wahuni tu kutokana na uhuni anaofanikisha kuufanya
 
Hivi ni kweli ni engineer?
Alisoma nchi gani?Au alisomea Somalia?
Huko GSM alifanya kazi gani?

Nimepatwa na mashaka iwapo huyu jamaa kama hata form 4 alifaulu.

Huu uinjinia isije kuwa alipewa na wahuni tu kutokana na uhuni anaofanikisha kuufanya
Umeandika kishabiki, na si kwa kutaka kujua..
 
Hivi ni kweli ni engineer?
Alisoma nchi gani?Au alisomea Somalia?
Huko GSM alifanya kazi gani?

Nimepatwa na mashaka iwapo huyu jamaa kama hata form 4 alifaulu.

Huu uinjinia isije kuwa alipewa na wahuni tu kutokana na uhuni anaofanikisha kuufanya
Hayo mambo ya CV na vyeti yalisha ktk dunia hii ya ubepari na biashara
Unaweza kuwa una degree,masters etc but unamtegemea wa darasa la. 2
 
Hayo mambo ya CV na vyeti yalisha ktk dunia hii ya ubepari na biashara
Unaweza kuwa una degree,masters etc but unamtegemea wa darasa la. 2
Mkuu haujamjibu mleta mada.Kila siku humu mnalalamika mnatemwa kwenye interview tatizo mnajibu msichoulizwa kisa ujuaji.
 
Kwan si huwa anasemaga yy ni structural engineer ? Sijui civil engineer si imekaaje hii
 
Hivi ni kweli ni engineer?
Alisoma nchi gani?Au alisomea Somalia?
Huko GSM alifanya kazi gani?

Nimepatwa na mashaka iwapo huyu jamaa kama hata form 4 alifaulu.

Huu uinjinia isije kuwa alipewa na wahuni tu kutokana na uhuni anaofanikisha kuufanya
Mbona unamchunguza sana amekuchumbia anataka kukuoa?
Kwani wewe unataka mwanaume mwenye CV gani hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…