CV ya John Mnyika

Hivi mnafahamu cv za Bill Gates? mkizifahamu hamtapoteza muda wenu wa kujadili makaratasi badala ya upstairs. kama shida yenu ni makaratasi Augustino Mrema nae ni PHD HOLDER. mpo hapo?
Bill Gates ni college dropout Ila katika mafanikio yake kuna mkali ambaye alimaliza college na ndiyo jembe lake. Anaitwa Paul Allen, nenda uka google umjue zaidi
 

Mimi namshabikia sana mnyika, nilidhani unataka kumsakama kama hana kitu mnaita degree (diploma disease). Kumbe tuko wote, huyu ni kijana fit sana. Afadhali amejitenga na waovu CCM. Maana Yesu alisema JITENGE NAO
 
Jamani kumbe kuna watu waongo humu jamvini kama hujui c useme tu?au kaa kimya.Nijuavyo mimi Mnyika alimaliza UDSM na kozi ilikuwa BA(PSPA)mwaka 2004.Kipindi hicho mie nilikuwa UDSM mwaka wa kwanza
 
Jamani nami nachiomekea hapa ka swali kangu, hivi mzee julius K alipata division gani o level, na je alipata masters na phd wapi na lini? manake nakumbuka yeye hakuwahi kupewa zawadi ya u daktar kama tunavyoona sasa! je kuna mwenye taarifa zake za academic?
 
Bill Gates ni college dropout Ila katika mafanikio yake kuna mkali ambaye alimaliza college na ndiyo jembe lake. Anaitwa Paul Allen, nenda uka google umjue zaidi

Mkuu angalia hapo chini:-


LAKINI


Tusitumie ku-drop out kwa hawa watu kujiliwaza au kuona kwamba akili na busara sio ingredients za mafanikio...... "Huwezi ku-run kampuni kama Microsoft bila kuwa na something upstairs...
 
Asset kwa Taifa la Magwanda
FaizaFoxy wakati mwingine ukweli inabidi kuukubali hata kama uko katika sera tofauti.
Ni kweli kijana ni Asset kwa Taifa zima na sio magwanda tu

Sio mtu unasema NO wakati jibu unajua ni Yes
 

Nilikuwa naangalia BookTV wakati Obama ndio kwanza kachukua urais.

Walikuwa wanamhoji muandishi wa kiingereza Paul Johnson, ambaye siyo tu ni msomi, bali kaandika kitabu kuhusu wasomi.

Wakamuuliza "unatumaini kwamba Obama atakuwa msomi?" "Are you hoping that Obama will turn out to be an intellectual?"

Mimi nikafikiri kwa sababu yeye msomi, na watu wengiwalishachoshwa na u cowboy wa George W. Bush, basi jamaa atasema "natumaini Obama ataleta usomi zaidi etc"

Jamaa akasaga usomi na kusema kwamba zaidi ya kufuta ujinga usomi ukiendekezwa sana unaweza kuleta obfusction na viinimacho tu.

Mnyika is suffciently intelligent, angalieni kazi yake, msemeni au kumpongeza kwa kazi yake. Kuendekeza usomi wa mikaratasi kwa sana ni ulimbukeni.

It's not like tunataka kuajiri watu watano na tuna application 500 sasa tunataka ku weed out watu bila ku feel guilty, the guy is not in academia, he is in parliament.
 
kusoma ni maendeleo ...na elimu ni dira ya maendeleo....sasa angalia kama elimu na viongozi wetu wanavyoipeleka nchi pabaya....mm naona uzelendo ndio utaweza kufanya elimu iwe bora na taifa kuendelea kiuchumi wakati wote.
 
Duh hiyo imetulia sana kwa mbunge wangu wa ubungo, kifupi ukitaka kujua mtu wenye akili we angalie matokeo yake ya form four tu.

Ukikutana na mtu ana PHD then matokeo ya form four ana FOUR ya nguvu basi utajua tu MAGUMASHI.


Sio lazima. Inawezekana kabisa mazingira ya form IV hayakuwa mazuri ndio maana alifanya vibaya. What about those who passed in form IV and ended up failing PhD? Please let us not look at this one one side!
 
FaizaFoxy wakati mwingine ukweli inabidi kuukubali hata kama uko katika sera tofauti.
Ni kweli kijana ni Asset kwa Taifa zima na sio magwanda tu

Sio mtu unasema NO wakati jibu unajua ni Yes

We hujajua tu "mshiki?"... chochote kilicho kinyume cha Magamba na Uislamu kwa Faiza Fox ni kupiga nyundo tu,,,nilidhani swaumu inamfanya mtu kujitambua lakini mh!
 
<br />
<br />
teh teh umenichekesha hapo mwisho.
 
Hivi hawa wanaosomaga seminari kuna siri gani? kutoka div one pwenti seven hadi two , kuna jamaa alikuja shule yetu(<br />
Milambo Wanaume) na pwenti saba zake kutoka maua kichwani alikuwa mupu hadi walimu wakawa wanamtania muuza feki.
<br />
<br />
walio weng feki tumesoma nao kutoka st flan wenye one kari lakin wamefuria had aibu, Feki tu hao..
 
Wakuu heshima.

Kati ya wabunge vichwa John Mnyika yumo.Kijana mdogo hana papara anajua anachokifanya hakika akiendelea na mwendo huu atafika mbali sana.Natamani sana John Mnyika kama angekuwa mbunge wangu kuna baadhi ya mambo hayaendi sawa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…