Bill Gates ni college dropout Ila katika mafanikio yake kuna mkali ambaye alimaliza college na ndiyo jembe lake. Anaitwa Paul Allen, nenda uka google umjue zaidiHivi mnafahamu cv za Bill Gates? mkizifahamu hamtapoteza muda wenu wa kujadili makaratasi badala ya upstairs. kama shida yenu ni makaratasi Augustino Mrema nae ni PHD HOLDER. mpo hapo?
kuwa mu***Anashaili nini?
Mbona unajistukia mkuu??? kila mtu huwa ana-interest zake katika jambo hasa katika maswala ya uongozi mm huwa napenda zaidi kujua uwezo wa mtu kielimu hasa pale anapokuwa anahusika katika kufanya maamuzimakubwa yakimaendeleo ambayo kwa namna moja au nyingine yananigusa, Mnyika ni kati ya viongozi wadogo wanaonivutia sana na uwezo walionao ndiyo maana nikapata msukumo wakumjua vizuri kielimu. Ninahaki pia ni mbunge wangu na kura yangu nilimpa.
Jamani kumbe kuna watu waongo humu jamvini kama hujui c useme tu?au kaa kimya.Nijuavyo mimi Mnyika alimaliza UDSM na kozi ilikuwa BA(PSPA)mwaka 2004.Kipindi hicho mie nilikuwa UDSM mwaka wa kwanzaform 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.
Haka kajamaa ni kichwa tena ni asset kwa taifa
Bill Gates ni college dropout Ila katika mafanikio yake kuna mkali ambaye alimaliza college na ndiyo jembe lake. Anaitwa Paul Allen, nenda uka google umjue zaidi
Paul Allen befriended Bill Gates while they were both attending a private school in Seattle. Allen went on to attend Washington State University, but dropped out after two years. He was also the one who convinced Bill Gates to drop out of Harvard in order to start Microsoft. The two co-founded the company in 1975, but Allen has distanced himself from the company since then. In addition to more than 100 million shares of Microsoft, Allen owns 12 professional sports teams, plenty of real estate, and has stakes in dozens of technology and media companies such as Dreamworks Studios.
Haka kajamaa ni kichwa tena ni asset kwa taifa
FaizaFoxy wakati mwingine ukweli inabidi kuukubali hata kama uko katika sera tofauti.Asset kwa Taifa la Magwanda
Nyie wasomi, tatizo lenu ni hilo. CV ya nini, kama mtu anafanya kazi inayoridhisha inatosha. Ukienda mitaani walalahoi wanalalamika kuwa wasomi ndio walioifikisha nchi hii kwenye umaskini. Ndio wezi wakubwa. mafisadi wa CCM wote ni wasomi. Hivyo usomi katika kuongoza nchi siyo ishu kubwa, ni uadilifu wa mtu. Tukija kwenye theatre ya kupasua moyo, hapo tuongee CV, sio kwenye mambo ya hekima kama uongozi (ingawa kusoma kunaweza kuwa added advantage!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!) Najua mtanishambulia, kazi kwenu.
kumbuka 'nothing is completly useless' hata wewe huko kilabuni kwenu ni asset tena pengine non current asset
Duh hiyo imetulia sana kwa mbunge wangu wa ubungo, kifupi ukitaka kujua mtu wenye akili we angalie matokeo yake ya form four tu.
Ukikutana na mtu ana PHD then matokeo ya form four ana FOUR ya nguvu basi utajua tu MAGUMASHI.
FaizaFoxy wakati mwingine ukweli inabidi kuukubali hata kama uko katika sera tofauti.
Ni kweli kijana ni Asset kwa Taifa zima na sio magwanda tu
Sio mtu unasema NO wakati jibu unajua ni Yes
<br /><font size="3">Duh hiyo imetulia sana kwa mbunge wangu wa ubungo, kifupi ukitaka kujua mtu wenye <b>akili we angalie matokeo yake ya form four tu.<br />
</b><br />
Ukikutana na mtu ana PHD then matokeo ya form four ana FOUR ya nguvu basi utajua tu MAGUMASHI.</font>
<br />Hivi hawa wanaosomaga seminari kuna siri gani? kutoka div one pwenti seven hadi two , kuna jamaa alikuja shule yetu(<br />
Milambo Wanaume) na pwenti saba zake kutoka maua kichwani alikuwa mupu hadi walimu wakawa wanamtania muuza feki.