CV ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hessein Kattanga

Lulagumye

Senior Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
102
Reaction score
76

Habari ndugu zangu, naomba mwenye CV ya Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Hessein Katanga, atupatie. Sisi kama wananchi tunahitaji kumfahamu vizuri Kiongozi wetu huyu

 
1. Feb 2011 - 2012 - Permanent Secretary in the PM’s Office (Regional Administration and Local Government)

2. July 2012 - Oct 2019 - Chief Court Administrator for the Judiciary of Tanzania

3. November 2019-March 2021 (Amb. Japan)

4. March 31-CS
 
Asante sana
 
Kabla ya hapo alikuwa DT Mbinga na DED mbinga kama sijakosea.
 

Mara nyingi watu hawa wanakuwa "TEETH".
 
Nachokumbuka ni mtu wa kigoma ujiji ndiko anapozaliwa na ashawahikua DT na DED halmashauri ya Mbinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…