Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #41
Unajua kusoma kingereza!? Tuanzie hapa kwanza.Unamaanisha CV ya aina hiyo ndiyo huwa hawafungwi??.
Mimi nimesema mmemwambia kwamba you have zero torelance ikitokea mmefungwa?π
Nenda English Council pale posta utapata msaada.Sijui mzee nieleweshe?
Can you prove this!?Da Rosa alikuwa na leseni ya UEFA PRO ila akawa hana ya CAF akapigwa marufuku kukaa benchi.
Mpira haujui nimeshakukumbuka kuna uzi ulinithibitishia kuwa ni mfuatiliaji mzuri wa rede kuliko mpira.Soma kijana achana na ndumba.
Yaani kocha kaaminiwa na Real Madrid kuwa assistant coach, chini ya Zidane,
Wewe kutoka kwa mparange unakuja kuketa hoja za kindezi.
Ondoa ujinga dogo. Achana na mambo ya kutegemea uchawi.
So long as Dilunga ni first eleven player hakuna wonder Muuza Unga Pablo anaweza fanya.Safi Sana,ni matumaini yangu kuwa Simba yetu inaenda kubadilika na kuwa viwango vya juu.
Yani wewe kwa akili zako za Mabwe pande unawazidi Real Madrid kumuweka Pablo kuwa Assistant Coach.Mpira haujui nimeshakukumbuka kuna uzi ulinithibitishia kuwa ni mfuatiliaji mzuri wa rede kuliko mpira.
Aliingia Youtube akaona game za kwa mkapa akazani viwanja vyote viko ivo.Haahhaha huyu kocha timu yake itakanyaga pitch za Bongo? Atashangaa sana hivi viwanja
Tumechelewa sana
Wewe ni "yaangaa"Unamaanisha CV ya aina hiyo ndiyo huwa hawafungwi??.
Mimi nimesema mmemwambia kwamba you have zero torelance ikitokea mmefungwa?[emoji14]
Kabisa and proudly Yanga's fan. πWewe ni "yaangaa"
[emoji3][emoji3]
Anajua kabisa tusipo pata tunachokitaka tunamfulusha.Kabisa and proudly Yanga's fan. [emoji23]
Mmemwambia sasa ukweli wenu?[emoji3]
Haya kama najua unataka kunilipa ama? Kiingereza ndiyo kitaingia uwanjani na kuzuia kufungwa? Simba wa kufugwa nyie ππUnajua kusoma kingereza!? Tuanzie hapa kwanza.
Mbona hujibu swali langu!? Unaogopa nitakupiga na ballHaya kama najua unataka kunilipa ama? Kiingereza ndiyo kitaingia uwanjani na kuzuia kufungwa? Simba wa kufugwa nyie ππ
Kama unaona Real Madrid kumteua kuwa Assistant coach ni kitendo kinachowafanya uone Madrid wapo smart sana vipi kitendo cha hao hao Madrid kumfukuza huyo kocha ndani ya miezi mitatu isikufanye uoji pia juu ya kufeli kwake Madrid? Au unafikiri kakaa Madrid misimu miwili?Yani wewe kwa akili zako za Mabwe pande unawazidi Real Madrid kumuweka Pablo kuwa Assistant Coach.
Nakushauri punguza kwenda kwa waganga wa kienyeji wekeza kwenye professionalism.
Alidumu miezi 2 tu.Soma kijana achana na ndumba.
Yaani kocha kaaminiwa na Real Madrid kuwa assistant coach, chini ya Zidane,
Wewe kutoka kwa mparange unakuja kuketa hoja za kindezi.
Ondoa ujinga dogo. Achana na mambo ya kutegemea uchawi.
Kumbuka tangu msimu wa 2021/2022 uanze Simba haijafungwa hata goli mojaHaya kama najua unataka kunilipa ama? Kiingereza ndiyo kitaingia uwanjani na kuzuia kufungwa? Simba wa kufugwa nyie [emoji23][emoji23]
Hatuko kwenye mpira wa aggregate bali tuko kwenye point tatu muhimu. Wewe cheza michezo minne toka sare ya bila kufungana lakini anayecheza michezo hiyo hiyo minne na akashinda yote kwa kuruhusu goli atakuwa kakuacha point nane. Endelea kujitapa kutoruhusu goli wakati wenzio wanapambania point tatu muhimu haijalishi karuhu goli au lahKumbuka tangu msimu wa 2021/2022 uanze Simba haijafungwa hata goli moja
Hapo ujue marekebisho yanayohitajika ni madogo ili kuweka timu kwenye nafasi ya juuHatuko kwenye mpira wa aggregate bali tuko kwenye point tatu muhimu. Wewe cheza michezo minne toka sare ya bila kufungana lakini anayecheza michezo hiyo hiyo minne na akashinda yote kwa kuruhusu goli atakuwa kakuacha point nane. Endelea kujitapa kutoruhusu goli wakati wenzio wanapambania point tatu muhimu haijalishi karuhu goli au lah
Wewe umejibu? Au unaogopa pia?Mbona hujibu swali langu!? Unaogopa nitakupiga na ball