mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,570
My take
Chadema mmekura garasha
sijui kama Prof Jay anajua hata kuandika au kutumia computer
Kwakweli hata jina la profesa halimfai tena Kumbe ameishia darasa la nne khaaaaaaA
Pum.bavu wee! elimu sio vyeti, hivi mtu aliyepewa tuzo hadi na BBC kwa utuzi bora ni mtu mwenye elimu ndogo? Uwezo wa kufikiri wa Prof. J ni mara 100 ya uwezo wa Steven Wassira.....hata chizi wenu Mwigulu hamfikii Prof. J. Na wewe uliyelet huu uzi ndio kabisaaa. Tofauti yako na Prof. J. ni sawa na kumfananisha Lusinde mbunge wa Mtera na Barack Obama Raisi wa Marekani. Ta.ahi.ra mkubwa wee!
Huyo mleta huu uzi atuambie je mwigulu anaelimu gani? si Economics first class je hiyo first class ndiyo anaitumia bungeni? matusi na kuwa singizia watu ugaidi ndio elimu ya first class economics? acha vihoja kwenye hoja ndugu VIVA CDMtunataka watu wa kukomboa nchi, suala la elimu lipo ccm ndio maana elimu yao ni kuiba na kuuza wanyamapori na kutoa watu kucha na kuuwana kama walivyomfanyia RPC mwanza
sasa mbona unatoka kamasi
hivi dalasa la nne uneweza kujua kutumia komputer au kuandika?
Joseph Haule a.k.a Professor Jay (amezaliwa tar. 29 Desemba 1975) ni msanii wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Professor Jay. Katika Tanzania, Prof. Jay anatazamika kama msanii aliyeweza kuwateka wazee waweze kusikiliza muziki wa Bongo Flava. Hasa kwa kibao alichofanya wakati yupo na kundi la Hard Blasters Crew Chemsha Bongo. Professor Jay anatokea kundi la Hard Blasters Crew. Kundi hili ni moja ya makundi yaliyofanya muziki huu ambao hujulikana kama muziki wa kizazi kipya kukubaliwa na sehemu kubwa ya wa Tanzania.
Maisha ya muziki
Professor Jay alianza shughuli za muziki mnamo miaka ya 90 hivi na alijiunga na kundi la Hard Blasters Crew(HBC) mnamo mwaka 1994. Mwaka 1995 Jay na HBC walishinda kuwa kundi bora la Hip Hop nchini Tanzania. Jay na HBC walitoa albamu ya kwanza iitwayo Funaga Kazi mwaka 2000 Albamu hiyo inaaminika kwamba ilileta mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Hip Hop nchini Tanzania. Albamu hii yenye ujumbe mzito ina nyimbo kama Chemsha Bongo na Mamsapu ambazo zilichangia kufanya muziki wa Bongo Flava kuwa wa kila rika na kupewa heshima. Kabla ya hapo muziki huu ulionekana kuwa ni muziki wa wahuni.
Msanii Binafsi
Professor Jay aliamua kuwa msanii binafsi mnamo 2001 na muda mfupi baada ya hapo akatoa albamu yake ya kwanza iitwayo Machozi Jasho na Damu. Albamu hii ilivuma haraka sana na kumfanya Prof. Jay kupata tuzo ya kuwa mtunzi bora wa Hip Hop nchini Tanzania kwa nyimbo yake ya Ndio Mzee kutoka kwenye albamu hiyo. na ikifuatiwa na Nyimbo ya Piga Makofi na Bongo Dar es Salaam
Mwaka 2003 Alitoa albamu ya pili iitwayo Mapinduzi Halisi ambayo nayo ilishinda tuzo ya Kili Music Awards kuwa albamu bora ya Muziki wa Hip Hop nchini Tanzania kwa mwaka 2003. Albamu hii imebebanNyimbo kama Zali la Mentali, Msinitenge, na Promota Anabeep
Mwaka 2006 Januari alitoa albamu ya tatu iliyoitwa J.O.S.EP.P.H. Jina la albamu hii lilitokana na nyimbo iliyotoka Mwanzo kabla ya Albamu kutoka. Nyimbo hii ilichaguliwa kuwa nyimbo bora ya Bongo Flava kwenye BBC na Radio One Awards.
Mpya imewahi kuteuliwa kuwa ni albamu bora ya Hip Hop , Mtunzi bora wa nyimbo za Hip Hop, na Nyimbo bora ya Hip Hop ya mwaka kwenye Kili Music Awards. 2006.Nikusaidieje. na Baadae Kisima Music Awards ya Kenya ilikuwa Nyimbo bora ya Hip Hop na Video bora ya Hip Hop kutoka nchini Tanzania.
Tuzo Alizopata
Muhtasari wa Albamu
- 1 Kili Music Awards ( 2003 )
- 2 BBC, Radio One Awards ( 2006 )
- 3 Kili Music Awards ( 2006 )
- 1 Aluta Continua ( 2007 ) Ipo Njiani Kutolewa
- 2 J.O.S.E.P.H. ( 2006 )
- 3 Mapinduzi Halisi ( 2003 )
- 4 Machozi Jasho na Damu ( 2001 )
Education
Standard IV
My take
Chadema mmekula garasha
sijui kama Prof Jay anajua hata kuandika au kutumia computer
sasa mbona unatoka kamasi
hivi dalasa la nne uneweza kujua kutumia komputer au kuandika?
kwakweli hata jina la profesa halimfai tena kumbe ameishia darasa la nne khaaaaaaa
P jay bora aendelee kuimba lakini siasa hawezi sababu elimu yake ni sawa na darasa la saba kwa maisha ya siku hizi.Asifikiri kupata ubunge ni kazi ndogo,mwenzake MR SUGU kichwa kile.Asijidanganye sababu SUGU kapata ubunge basi na yeye atapata hizo ni day dreaming.Kaona muziki umemkataa anataka kukimbilia kwenye siasa aandike ameumia
Kwakweli hata jina la profesa halimfai tena Kumbe ameishia darasa la nne khaaaaaaA
Wewe ambae sio garasha umekisaidia nini chama chako?acha kuwa na mawazo mgando wewe, unataka kutuaminisha kuwa,magamba wote ni educated? Au kujiunga na chama lazima uwe na elimu?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
sasa mbona unatoka kamasi
hivi dalasa la nne uneweza kujua kutumia komputer au kuandika?
Hii ni CV au Biography?