CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)


My take

Chadema mmekura garasha
sijui kama Prof Jay anajua hata kuandika au kutumia computer


Pum.bavu wee! elimu sio vyeti, hivi mtu aliyepewa tuzo hadi na BBC kwa utunzi bora ni mtu mwenye elimu ndogo? Uwezo wa kufikiri wa Prof. J ni mara 100 ya uwezo wa Steven Wassira.....hata chizi wenu Mwigulu hamfikii Prof. J. Na wewe uliyeleta huu uzi ndio kabisaaa. Tofauti yako na Prof. J. ni sawa na kumfananisha Lusinde mbunge wa Mtera na Barack Obama Raisi wa Marekani. Ta.ahi.ra mkubwa wee!
 
Kwakweli hata jina la profesa halimfai tena Kumbe ameishia darasa la nne khaaaaaaA

Kwani U-Profesa wake si ulitokana na juhudi zake? Wewe usipomuita ni utovu wako wa nidhamu lakini jamaa kwenye gemu anakubalika. Huyu ni prof J wa Mitulinga.

Jambo la msingi kwa wa-Tanzania wote ni kuwa utendaji kazi bora hautokani na elimu yako. Hebu angalia cabinet ya JK ilivyo na ma-Profesa wengi kuliko wote Afrika lakini NDIYO WABAYA ZAIDI AFRIKA NZIMA
 

Pum.bavu wee! elimu sio vyeti, hivi mtu aliyepewa tuzo hadi na BBC kwa utuzi bora ni mtu mwenye elimu ndogo? Uwezo wa kufikiri wa Prof. J ni mara 100 ya uwezo wa Steven Wassira.....hata chizi wenu Mwigulu hamfikii Prof. J. Na wewe uliyelet huu uzi ndio kabisaaa. Tofauti yako na Prof. J. ni sawa na kumfananisha Lusinde mbunge wa Mtera na Barack Obama Raisi wa Marekani. Ta.ahi.ra mkubwa wee!

sasa mbona unatoka kamasi
hivi dalasa la nne uneweza kujua kutumia komputer au kuandika?
 
Haya maelezo kwako ni CV?! hapa umetia aibu maana imeonyesha wazi unasujudia elimu ambayo hata uelewi maana yake ni nini?! Kwa hiyo kwako mtu akijua kutumia kompyuta unampa hata mkeo kwa kuwa ana elimu.Unreasonable Stup*d.
 
we mpumbavu kweli kwani Anord Schwarzenegger alikuwa na elimu gani mbona alilamba usenetor.umeambiwa kuwa mwanaharakati kupitia chama nilazima uwe na elimu sokoine alikuwa na elimu gani? Agustini Lyatonga na degree feki ya mwaka mmoja.Lukuvı na degree za mezani.
 
tunataka watu wa kukomboa nchi, suala la elimu lipo ccm ndio maana elimu yao ni kuiba na kuuza wanyamapori na kutoa watu kucha na kuuwana kama walivyomfanyia RPC mwanza
Huyo mleta huu uzi atuambie je mwigulu anaelimu gani? si Economics first class je hiyo first class ndiyo anaitumia bungeni? matusi na kuwa singizia watu ugaidi ndio elimu ya first class economics? acha vihoja kwenye hoja ndugu VIVA CDM
 
sasa mbona unatoka kamasi
hivi dalasa la nne uneweza kujua kutumia komputer au kuandika?

unaona kutumia kompyuta ndiyo elimu umesoma mpaka la ngapi wewe gamba?yaaani we ulistahili ukaiishi na jamaa wa god must be crazy maana cuu..piii kweli
 
Joseph Haule a.k.a Professor Jay (amezaliwa tar. 29 Desemba 1975) ni msanii wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Professor Jay. Katika Tanzania, Prof. Jay anatazamika kama msanii aliyeweza kuwateka wazee waweze kusikiliza muziki wa Bongo Flava. Hasa kwa kibao alichofanya wakati yupo na kundi la Hard Blasters Crew – Chemsha Bongo. Professor Jay anatokea kundi la Hard Blasters Crew. Kundi hili ni moja ya makundi yaliyofanya muziki huu ambao hujulikana kama ‘muziki wa kizazi kipya’ kukubaliwa na sehemu kubwa ya wa Tanzania.
Maisha ya muziki

Professor Jay alianza shughuli za muziki mnamo miaka ya 90 hivi na alijiunga na kundi la ‘Hard Blasters Crew’(HBC) mnamo mwaka 1994. Mwaka 1995 Jay na HBC walishinda kuwa kundi bora la Hip Hop nchini Tanzania. Jay na HBC walitoa albamu ya kwanza iitwayo ‘Funaga Kazi’ mwaka 2000 Albamu hiyo inaaminika kwamba ilileta mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Hip Hop nchini Tanzania. Albamu hii yenye ujumbe mzito ina nyimbo kama ‘Chemsha Bongo’ na ‘Mamsapu’ ambazo zilichangia kufanya muziki wa ‘Bongo Flava’ kuwa wa kila rika na kupewa heshima. Kabla ya hapo muziki huu ulionekana kuwa ni muziki wa wahuni.


Msanii Binafsi


Professor Jay aliamua kuwa msanii binafsi mnamo 2001 na muda mfupi baada ya hapo akatoa albamu yake ya kwanza iitwayo “Machozi Jasho na Damu”. Albamu hii ilivuma haraka sana na kumfanya Prof. Jay kupata tuzo ya kuwa mtunzi bora wa Hip Hop nchini Tanzania kwa nyimbo yake ya ‘Ndio Mzee’ kutoka kwenye albamu hiyo. na ikifuatiwa na Nyimbo ya “Piga Makofi na Bongo Dar es Salaam”
Mwaka 2003 Alitoa albamu ya pili iitwayo “Mapinduzi Halisi” ambayo nayo ilishinda tuzo ya Kili Music Awards kuwa albamu bora ya Muziki wa Hip Hop nchini Tanzania kwa mwaka 2003. Albamu hii imebebanNyimbo kama “Zali la Mentali”, “Msinitenge,” na “Promota Anabeep”
Mwaka 2006 Januari alitoa albamu ya tatu iliyoitwa “J.O.S.EP.P.H”. Jina la albamu hii lilitokana na nyimbo iliyotoka Mwanzo kabla ya Albamu kutoka. Nyimbo hii ilichaguliwa kuwa nyimbo bora ya Bongo Flava kwenye BBC na Radio One Awards.
Mpya imewahi kuteuliwa kuwa ni albamu bora ya Hip Hop , Mtunzi bora wa nyimbo za Hip Hop, na Nyimbo bora ya Hip Hop ya mwaka kwenye Kili Music Awards. 2006.”Nikusaidieje”. na Baadae Kisima Music Awards ya Kenya ilikuwa Nyimbo bora ya Hip Hop na Video bora ya Hip Hop kutoka nchini Tanzania.
Tuzo Alizopata


  • 1 Kili Music Awards ( 2003 )
  • 2 BBC, Radio One Awards ( 2006 )
  • 3 Kili Music Awards ( 2006 )
Muhtasari wa Albamu


  • 1 Aluta Continua ( 2007 ) Ipo Njiani Kutolewa
  • 2 J.O.S.E.P.H. ( 2006 )
  • 3 Mapinduzi Halisi ( 2003 )
  • 4 Machozi Jasho na Damu ( 2001 )

Education
Standard IV



My take

Chadema mmekula garasha
sijui kama Prof Jay anajua hata kuandika au kutumia computer

Kwasababu hata mziki unamwandikia wewe.Maskini wakufikiria wewe. Ndio mana hata mkeo amekukimbia
 
sasa mbona unatoka kamasi
hivi dalasa la nne uneweza kujua kutumia komputer au kuandika?

Duuh....bora ukae kimya ili ufiche ujinga wako kuliko kuendelea kuandika na kuwapa watu fursa ya kuona ni kwa namna gani una mapungufu makubwa ya ubongo.*

Elimu haipatikani darasani tu bwana mdogo....tena katika dunia ya leo mtu unaweza kujisomea na kuelimika kadri utakavyo bila kuingia kwenye majengo ya shule au chuo chochote.

Abraham Lincoln aliweza kuwa mwanasheria makini sana na baadae kuwa Raisi wa taifa kubwa duniani Marekani wakati elimu yake haikuzidi darasa la pili. Kama unaelewa kingereza soma hapa:

''While young Lincoln's formal education consisted approximately of a year's worth of classes from several itinerant teachers, he was mostly self-educated and was an avid reader and often sought access to any new books in the village''.

Hata kama kaishia darasa la pili Prof. J ana uelewa mkubwa sana na hilo linathibitishwa na tungo zake ambazo hata BBC walizitambua na kumpa tuzo.

Kama umeshindwa kulitambua hilo nasisitiza tena:
Tofauti yako na Prof. J. ni sawa na kumfananisha Lusinde mbunge wa Mtera na Barack Obama Raisi wa Marekani. Ta.ahi.ra mkubwa wee!
 
P jay bora aendelee kuimba lakini siasa hawezi sababu elimu yake ni sawa na darasa la saba kwa maisha ya siku hizi.Asifikiri kupata ubunge ni kazi ndogo,mwenzake MR SUGU kichwa kile.Asijidanganye sababu SUGU kapata ubunge basi na yeye atapata hizo ni day dreaming.Kaona muziki umemkataa anataka kukimbilia kwenye siasa aandike ameumia

Naona imewauma sana ubunge kwake niwakugusa tu.Nawewe karibu tutakupa hata kazi ya uhouse boy.
 
Wewe ambae sio garasha umekisaidia nini chama chako?acha kuwa na mawazo mgando wewe, unataka kutuaminisha kuwa,magamba wote ni educated? Au kujiunga na chama lazima uwe na elimu?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

the writer actually know nothing about politics especialy tanzanian politics, let him vibrate when others dance.
 
Mh watu wengine bwana unashindwa kujiuliza huyo rais wako ni doctor wa nini unajiuliza eti j ni professor wa nini eti captan komba ni captan wa nini? Najua inawauma lakini ukweli ndo huo j kaokoka sisi hatuangalii elimu kwanza elimu bongo???????????
 
Back
Top Bottom