CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

Joseph Haule a.k.a Professor Jay (amezaliwa tar. 29 Desemba 1975) ni msanii wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Professor Jay. Katika Tanzania, Prof. Jay anatazamika kama msanii aliyeweza kuwateka wazee waweze kusikiliza muziki wa Bongo Flava. Hasa kwa kibao alichofanya wakati yupo na kundi la Hard Blasters Crew – Chemsha Bongo. Professor Jay anatokea kundi la Hard Blasters Crew. Kundi hili ni moja ya makundi yaliyofanya muziki huu ambao hujulikana kama ‘muziki wa kizazi kipya' kukubaliwa na sehemu kubwa ya wa Tanzania.
Maisha ya muziki

Professor Jay alianza shughuli za muziki mnamo miaka ya 90 hivi na alijiunga na kundi la ‘Hard Blasters Crew'(HBC) mnamo mwaka 1994. Mwaka 1995 Jay na HBC walishinda kuwa kundi bora la Hip Hop nchini Tanzania. Jay na HBC walitoa albamu ya kwanza iitwayo ‘Funaga Kazi' mwaka 2000 Albamu hiyo inaaminika kwamba ilileta mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Hip Hop nchini Tanzania. Albamu hii yenye ujumbe mzito ina nyimbo kama ‘Chemsha Bongo' na ‘Mamsapu' ambazo zilichangia kufanya muziki wa ‘Bongo Flava' kuwa wa kila rika na kupewa heshima. Kabla ya hapo muziki huu ulionekana kuwa ni muziki wa wahuni.


Msanii Binafsi


Professor Jay aliamua kuwa msanii binafsi mnamo 2001 na muda mfupi baada ya hapo akatoa albamu yake ya kwanza iitwayo "Machozi Jasho na Damu". Albamu hii ilivuma haraka sana na kumfanya Prof. Jay kupata tuzo ya kuwa mtunzi bora wa Hip Hop nchini Tanzania kwa nyimbo yake ya ‘Ndio Mzee' kutoka kwenye albamu hiyo. na ikifuatiwa na Nyimbo ya "Piga Makofi na Bongo Dar es Salaam"
Mwaka 2003 Alitoa albamu ya pili iitwayo "Mapinduzi Halisi" ambayo nayo ilishinda tuzo ya Kili Music Awards kuwa albamu bora ya Muziki wa Hip Hop nchini Tanzania kwa mwaka 2003. Albamu hii imebebanNyimbo kama "Zali la Mentali", "Msinitenge," na "Promota Anabeep"
Mwaka 2006 Januari alitoa albamu ya tatu iliyoitwa "J.O.S.EP.P.H". Jina la albamu hii lilitokana na nyimbo iliyotoka Mwanzo kabla ya Albamu kutoka. Nyimbo hii ilichaguliwa kuwa nyimbo bora ya Bongo Flava kwenye BBC na Radio One Awards.
Mpya imewahi kuteuliwa kuwa ni albamu bora ya Hip Hop , Mtunzi bora wa nyimbo za Hip Hop, na Nyimbo bora ya Hip Hop ya mwaka kwenye Kili Music Awards. 2006."Nikusaidieje". na Baadae Kisima Music Awards ya Kenya ilikuwa Nyimbo bora ya Hip Hop na Video bora ya Hip Hop kutoka nchini Tanzania.
Tuzo Alizopata


  • 1 Kili Music Awards ( 2003 )
  • 2 BBC, Radio One Awards ( 2006 )
  • 3 Kili Music Awards ( 2006 )
Muhtasari wa Albamu


  • 1 Aluta Continua ( 2007 ) Ipo Njiani Kutolewa
  • 2 J.O.S.E.P.H. ( 2006 )
  • 3 Mapinduzi Halisi ( 2003 )
  • 4 Machozi Jasho na Damu ( 2001 )

Education
Standard IV



My take

Chadema mmekula garasha
sijui kama Prof Jay anajua hata kuandika au kutumia computer



Tatizo ni kwamba sijawahi kupigwa ban hata siku moja toka nijiunge na JF na ni jambo hilo ambalo sitaki kabisa linitokee, ila we bwana ningekuwa sitaki ban hapa ningekutukana mpaka sijui wapi, na yote hayo nayameza tu kwa sababu ya ban.Watu kama nyie mnaishi kwa sababu kuwaua ni dhambi....
 
Jay z he didn't even finish high school,where's he at now? We have seen bunch of well educated people, they're nothing but hypocrite, cockroaches, what about former British prime minister John major? Was he educated politician? Most of educated people are dumb fools.
 
Yaani ww??
mshukuru shetani wako kwa kuwa sikuoni, la sivyo SERIKALI Wangekuwa Wameshanipangisha chumba kule SEGEREA.
 
Elimu sio Uongozi! Usibaki kuamini katika elimu yetu ya vyeti, wapo watu wana Degree, Masters na PHD lakini ni uozo mtupu na hawana mchango kwa jamii yetu zaidi ya kuikandamiza na kuinyima maendeleo!
 
The Shumpeter,

Jinsi ulvyoandika hiyo "CV" inaonyesha ELIMU na uelewa wako,
-Pili ungeleta vigezo vya 'elimu' CHADEMA inavyotaka kujiunga navyo, ili tuone kama amekiuka masharti.
-Ni vizuri, kufikiri wewe una elimu kubwa kuliko Joseph Haule, lakiji tuambizane wewe umefanya nini?
 
Last edited by a moderator:
Joseph Haule a.k.a Professor Jay (amezaliwa tar. 29 Desemba 1975) ni msanii wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Professor Jay. Katika Tanzania, Prof. Jay anatazamika kama msanii aliyeweza kuwateka wazee waweze kusikiliza muziki wa Bongo Flava. Hasa kwa kibao alichofanya wakati yupo na kundi la Hard Blasters Crew – Chemsha Bongo. Professor Jay anatokea kundi la Hard Blasters Crew. Kundi hili ni moja ya makundi yaliyofanya muziki huu ambao hujulikana kama ‘muziki wa kizazi kipya’ kukubaliwa na sehemu kubwa ya wa Tanzania.
Maisha ya muziki

Professor Jay alianza shughuli za muziki mnamo miaka ya 90 hivi na alijiunga na kundi la ‘Hard Blasters Crew’(HBC) mnamo mwaka 1994. Mwaka 1995 Jay na HBC walishinda kuwa kundi bora la Hip Hop nchini Tanzania. Jay na HBC walitoa albamu ya kwanza iitwayo ‘Funaga Kazi’ mwaka 2000 Albamu hiyo inaaminika kwamba ilileta mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Hip Hop nchini Tanzania. Albamu hii yenye ujumbe mzito ina nyimbo kama ‘Chemsha Bongo’ na ‘Mamsapu’ ambazo zilichangia kufanya muziki wa ‘Bongo Flava’ kuwa wa kila rika na kupewa heshima. Kabla ya hapo muziki huu ulionekana kuwa ni muziki wa wahuni.


Msanii Binafsi


Professor Jay aliamua kuwa msanii binafsi mnamo 2001 na muda mfupi baada ya hapo akatoa albamu yake ya kwanza iitwayo “Machozi Jasho na Damu”. Albamu hii ilivuma haraka sana na kumfanya Prof. Jay kupata tuzo ya kuwa mtunzi bora wa Hip Hop nchini Tanzania kwa nyimbo yake ya ‘Ndio Mzee’ kutoka kwenye albamu hiyo. na ikifuatiwa na Nyimbo ya “Piga Makofi na Bongo Dar es Salaam”
Mwaka 2003 Alitoa albamu ya pili iitwayo “Mapinduzi Halisi” ambayo nayo ilishinda tuzo ya Kili Music Awards kuwa albamu bora ya Muziki wa Hip Hop nchini Tanzania kwa mwaka 2003. Albamu hii imebebanNyimbo kama “Zali la Mentali”, “Msinitenge,” na “Promota Anabeep”
Mwaka 2006 Januari alitoa albamu ya tatu iliyoitwa “J.O.S.EP.P.H”. Jina la albamu hii lilitokana na nyimbo iliyotoka Mwanzo kabla ya Albamu kutoka. Nyimbo hii ilichaguliwa kuwa nyimbo bora ya Bongo Flava kwenye BBC na Radio One Awards.
Mpya imewahi kuteuliwa kuwa ni albamu bora ya Hip Hop , Mtunzi bora wa nyimbo za Hip Hop, na Nyimbo bora ya Hip Hop ya mwaka kwenye Kili Music Awards. 2006.”Nikusaidieje”. na Baadae Kisima Music Awards ya Kenya ilikuwa Nyimbo bora ya Hip Hop na Video bora ya Hip Hop kutoka nchini Tanzania.
Tuzo Alizopata


  • 1 Kili Music Awards ( 2003 )
  • 2 BBC, Radio One Awards ( 2006 )
  • 3 Kili Music Awards ( 2006 )
Muhtasari wa Albamu


  • 1 Aluta Continua ( 2007 ) Ipo Njiani Kutolewa
  • 2 J.O.S.E.P.H. ( 2006 )
  • 3 Mapinduzi Halisi ( 2003 )
  • 4 Machozi Jasho na Damu ( 2001 )

Education
Standard IV



My take

Chadema mmekula garasha
sijui kama Prof Jay anajua hata kuandika au kutumia computer

Hii sio cv wewe mpumbavu
 
Prof kasoma Sekondari nadhani huko Tukuyu
lakini mleta hoja ungeleta kujulishwa Elimu
yake si kile unachoamini na hakiko sawa.


Naona umeupotosha umma kwa kiasi flani
lakini kumbuka wasomi unaowaamini wewe
ndiyo wanasaini Mikataba hata bila kuisoma.
 
Jaman mbona professor jay kamaliza Lutengano 4m six Mbeya Tukuyu

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
elimu siyo ishu maana kuna waziri mmoja hapa kaenda vidato sana lakini kila wizara anayopelekwa ANAPWAYA tu nafikiri ni fadhira ya kuwa cjui wametoka kumoja na ......., uongozi cyo elimu, hata prof.Jay anaweza kuwa kiongozi mzuri tu asiyekuwa mtawala!
 
JAMANI 60% YA 2012, KADI YA CCM NA 7000 ZA LUMUMBA ZINATUSUMBUA.

HII ULIYOANDIKA HAPA NI BIOGRAPHY NA SI CV KAMA ULIVYODAI NA HAPA UNADHIBITISHA KUWA HATA FORM FOUR UNAYOIPONDA HUKUMALIZA AMA UMO KWENYE LILE KUNDI MAARUFU LA 60%.

jielimishe hapa.

Biography-the story of a person's life written by somebody.
(Ni historia ya mtu inayoandikwa na mtu mwingine)

Autobiography-the story of a person written by that person(ni historia ya mtu inayoandikwa na mhusika mwenyewe)

Curriculum Vitae(CV)-A written record of your education and the jobs you have done,that you send when you are applying for jobs.
(taarifa za elimu na kazi ulizofanya-kazi za kielimu,taarifa hutumika kuombea kazi.)


SASA NADHANI NIMEKUTOA UJINGA ULIOKUWA NAO NA UNAWEZA KUANDIKA UPYA CV YA PROF. J.

PIA TAMBUA KATIKA CHAMA TUNAMTAKA MTU YEYOTE BILA KUJALI ELIMU YAKE NA HATA WASIOJUA TOFAUTI YA CV,biography na autobiography kama ulivyo wewe mleta uzi tunawataka pia waje chadema.
 
unaweza kuwa na elimu usiwe mzalendo elimu yako ikakusaidia kuibia taifa tu,me naona anajielewa ndio maana hata akaandika ile ndio mzee....
Kwani we unavyojua Rais wako ana elimu gani mbona mmempa nchi
 
Joseph Haule a.k.a Professor Jay (amezaliwa tar. 29 Desemba 1975) ni msanii wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Professor Jay. Katika Tanzania, Prof. Jay anatazamika kama msanii aliyeweza kuwateka wazee waweze kusikiliza muziki wa Bongo Flava. Hasa kwa kibao alichofanya wakati yupo na kundi la Hard Blasters Crew – Chemsha Bongo. Professor Jay anatokea kundi la Hard Blasters Crew. Kundi hili ni moja ya makundi yaliyofanya muziki huu ambao hujulikana kama ‘muziki wa kizazi kipya’ kukubaliwa na sehemu kubwa ya wa Tanzania.
Maisha ya muziki

Professor Jay alianza shughuli za muziki mnamo miaka ya 90 hivi na alijiunga na kundi la ‘Hard Blasters Crew’(HBC) mnamo mwaka 1994. Mwaka 1995 Jay na HBC walishinda kuwa kundi bora la Hip Hop nchini Tanzania. Jay na HBC walitoa albamu ya kwanza iitwayo ‘Funaga Kazi’ mwaka 2000 Albamu hiyo inaaminika kwamba ilileta mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Hip Hop nchini Tanzania. Albamu hii yenye ujumbe mzito ina nyimbo kama ‘Chemsha Bongo’ na ‘Mamsapu’ ambazo zilichangia kufanya muziki wa ‘Bongo Flava’ kuwa wa kila rika na kupewa heshima. Kabla ya hapo muziki huu ulionekana kuwa ni muziki wa wahuni.


Msanii Binafsi


Professor Jay aliamua kuwa msanii binafsi mnamo 2001 na muda mfupi baada ya hapo akatoa albamu yake ya kwanza iitwayo “Machozi Jasho na Damu”. Albamu hii ilivuma haraka sana na kumfanya Prof. Jay kupata tuzo ya kuwa mtunzi bora wa Hip Hop nchini Tanzania kwa nyimbo yake ya ‘Ndio Mzee’ kutoka kwenye albamu hiyo. na ikifuatiwa na Nyimbo ya “Piga Makofi na Bongo Dar es Salaam”
Mwaka 2003 Alitoa albamu ya pili iitwayo “Mapinduzi Halisi” ambayo nayo ilishinda tuzo ya Kili Music Awards kuwa albamu bora ya Muziki wa Hip Hop nchini Tanzania kwa mwaka 2003. Albamu hii imebebanNyimbo kama “Zali la Mentali”, “Msinitenge,” na “Promota Anabeep”
Mwaka 2006 Januari alitoa albamu ya tatu iliyoitwa “J.O.S.EP.P.H”. Jina la albamu hii lilitokana na nyimbo iliyotoka Mwanzo kabla ya Albamu kutoka. Nyimbo hii ilichaguliwa kuwa nyimbo bora ya Bongo Flava kwenye BBC na Radio One Awards.
Mpya imewahi kuteuliwa kuwa ni albamu bora ya Hip Hop , Mtunzi bora wa nyimbo za Hip Hop, na Nyimbo bora ya Hip Hop ya mwaka kwenye Kili Music Awards. 2006.”Nikusaidieje”. na Baadae Kisima Music Awards ya Kenya ilikuwa Nyimbo bora ya Hip Hop na Video bora ya Hip Hop kutoka nchini Tanzania.
Tuzo Alizopata


  • 1 Kili Music Awards ( 2003 )
  • 2 BBC, Radio One Awards ( 2006 )
  • 3 Kili Music Awards ( 2006 )
Muhtasari wa Albamu


  • 1 Aluta Continua ( 2007 ) Ipo Njiani Kutolewa
  • 2 J.O.S.E.P.H. ( 2006 )
  • 3 Mapinduzi Halisi ( 2003 )
  • 4 Machozi Jasho na Damu ( 2001 )

Education
Standard IV



My take

Chadema mmekula garasha
sijui kama Prof Jay anajua hata kuandika au kutumia computer

acha ulimbukeni wewe....kusoma ndo kuongoza???wako wapi wale wasomi wezi kule bungeni?kule ccm???amka weee
 
Tatizo ni kwamba sijawahi kupigwa ban hata siku moja toka nijiunge na JF na ni jambo hilo ambalo sitaki kabisa linitokee, ila we bwana ningekuwa sitaki ban hapa ningekutukana mpaka sijui wapi, na yote hayo nayameza tu kwa sababu ya ban.Watu kama nyie mnaishi kwa sababu kuwaua ni dhambi....

hahahaha najaribu kuvuta taswira ya ayo matusi uliyoyameza, raiti Kama ungeyatoa, huyu jamaa angesimulia huko kwako aliko...hahahaha
 
Kamaliza Lutengano form six, labda unayemuongelea ni mwingine.
 
mmh jf kuna watu wengine ukishika ni kupigilia msumari wa kichwa tu yani ilo lijitu lilivyo post tu apa mmmh wewe sio bure shule huna ni sifa tu eti cv ya jay ni iv shwaini mkubwa wewe..arrrrggggggh
 
Back
Top Bottom