CV ya Saed Kubenea, Joster Mwalugumbi na Kondo Tutindaga

CV ya Saed Kubenea, Joster Mwalugumbi na Kondo Tutindaga

menny terry

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
509
Reaction score
670
Wakuu kwanza natanguliza salamu then najua kwa wale wasomaji wa gazeti namba moja Tanzania kwa habari na uchambuzi makini. MWANAHALISI. nadhani hawa nilio wataja hapo juu si wageni machoni penu. Nikianza na kubenea ni jembe la ukweli la kujivunia Tanzania.

Ameweka maisha yake rehani kwa ile kiu ya haki iliyomo moyoni mwake. Hana tamaa ya fedha, Anauwezo mkubwa wa kujenga hoja na kuchambua vitu kwa undani.kondo na mwalugumbi nao wapo juu kwelikweli.Anae fahamu CV Zao naomba atujuze huenda tukapata ya kujifunza kwao.

Ahsanteni wakuu!
 
hatuhitaji cv kwa wazalendo,
wanatakiwa kupiga kazi kwani wasomi wa nchi hii wameshindwa kulisaidia taifa pamoja na ma phd,dk ya ukweli.
 
CV zao zitatusaidia nini nadhani kile wanacho-deliver kwa jamii ni zaidi ya CV, moyo wa kizalendo wa Kubenea ni zaidi ya cv. Labda fafanua hoja yako imelenga nini, CV sio issue kwetu na kwa Tanzania cv hazijawasaidia wananchi.angalia viongozi wa serikali,wengi wana cv za nguvu lakini wamelifanyia nini taifa hili?
 
vp unataka kuanzisha gazeti au ndio majungu kama kawa?
 
Kwenye hayo magazeti kuna namba za simu wanazotumia pia kuna email zao kama huna piga simu namba 0222760560 au email halihalisi@yahoo.com, si kila kitu lazima ukipate humu JF
 
wakuu kwanza natanguliza salamu then najua kwa wale wasomaji wa gazeti namba moja tanzania kwa habari na uchambuzi makini. Mwanahalisi. Nadhani hawa nilio wataja hapo juu si wageni machoni penu. Nikianza na kubenea ni jembe la ukweli la kujivunia tanzania.

Ameweka maisha yake rehani kwa ile kiu ya haki iliyomo moyoni mwake. Hana tamaa ya fedha, anauwezo mkubwa wa kujenga hoja na kuchambua vitu kwa undani.kondo na mwalugumbi nao wapo juu kwelikweli.anae fahamu cv zao naomba atujuze huenda tukapata ya kujifunza kwao.

Ahsanteni wakuu!

ukutaka cv ya karume ni mapinduzi ya zanzibar, ukitaka cv ya obasanjo ni kuludisha serkali kwenye mikono ya raia, cv ya sokoine vita dhidi ya wahujumu uchum , pia cv ya kawawa ni vita dhidi ya wajiri wazungu, cv ya kibaki kuiburuza kanu so ukitaka cv ya kubenea ni kusoma gazeti la mwanahalisi kila wiki , for me this gay kashalipa ghalama kamwagiwa tindikali nampenda hayuko bias so keep it on ma brother kubenea
 
ukitaka ugomvi na memba wa jf omba cv ya mtu wewe utakimbia balaa lake
 
Kamuulize rostam nasikia kamnunua kubenea na mwanahalisi nafikiri atakua alilidhishwa na hiyo cv unayoitaka........
 
Wakuu kwanza natanguliza salamu then najua kwa wale wasomaji wa gazeti namba moja Tanzania kwa habari na uchambuzi makini. MWANAHALISI. nadhani hawa nilio wataja hapo juu si wageni machoni penu. Nikianza na kubenea ni jembe la ukweli la kujivunia Tanzania.

Ameweka maisha yake rehani kwa ile kiu ya haki iliyomo moyoni mwake. Hana tamaa ya fedha, Anauwezo mkubwa wa kujenga hoja na kuchambua vitu kwa undani.kondo na mwalugumbi nao wapo juu kwelikweli.Anae fahamu CV Zao naomba atujuze huenda tukapata ya kujifunza kwao. Ahsanteni wakuu!
menny terry, CV zao unazijua na ndio maana unaziulizia, waandishi majembe wako wangapi usiziulizie CV zao. Wewe unalako jambo, tafadhali nakuomba sana, usilianzishe, waache vijana wachape kazi!.

Kwa kukusaidia tuu, Bill Gate alidrop out chuo mwaka wa pili na hakutaka tena digrii, ameajiri watu wenye ma Ph.D ya kufa mtu!, hivyo CV ni nini?!. Kama mtu ni jembe, unaangalia shamba jembe lilipolima sio kuuliza jembe chapa ya nini na mpini ni mti gani, angalia kazi!.
 
hatuhitaji cv kwa wazalendo,
wanatakiwa kupiga kazi kwani wasomi wa nchi hii wameshindwa kulisaidia taifa pamoja na ma phd,dk ya ukweli.

jibu ulichoulizwa acha ushambenga na umbea nyie ndo mnaolitia umaskin taifa letu.kaa kimya kama hujui.
 
Nimegundua humu ndani kuna watu wenye tabia za ajabu kabisa yaani wewe umeshaona maisha yako binafsi yanakupiga chenga na hauna msaada kwenye taifa halafu unatafuta cv.za wazalendo wa ukweli nyie ndiyo watu mnaotaka kuturudisha nyuma tuwe tunasoma magazeti ya udaku tu maana mnataka kuwamaliza wazalendo wachache kama kina Kubenea.
 
Said kubenea ni mngoni anakisiwa kuwa na miaka kati ya 30 hadi 40.Aliwahi kuwa mwalimu wa kiswahili kabla hajapata wazo la kuwa adui wa mafisadi.Kutokana na kisomo duni alichokuwa nacho alijiendeleza na kufanikiwa kupata diploma.Hana elimu ya kutisha wala nini ni.
 
Unahitaji hizo CV kwa ajili ya kazi gani?

Kamuulize rostam nasikia kamnunua kubenea na mwanahalisi nafikiri atakua alilidhishwa na hiyo cv unayoitaka........

CV zao zitatusaidia nini nadhani kile wanacho-deliver kwa jamii ni zaidi ya CV,moyo wa kizalendo wa Kubenea ni zaidi ya cv.labda fafanua hoja yako imelenga nini,cv sio issue kwetu na kwa Tanzania cv hazijawasaidia wananchi.angalia viongozi wa serikali,wengi wana cv za nguvu lakini wamelifanyia nini taifa hili?

vp unataka kuanzisha gazeti au ndio majungu kama kawa?

tehe tehe! cv ipi mbona yote umeiweka wazi.

CV zao zitakusaidia nini.
Yani hapa sahau CV
 
Kubenea,
Elimu ya Sekondari Kidato cha Nne
Diploma
Mwandishi mwandamizi, Gazeti la Mwanahalisi
 
Wakuu kwanza natanguliza salamu then najua kwa wale wasomaji wa gazeti namba moja Tanzania kwa habari na uchambuzi makini. MWANAHALISI. nadhani hawa nilio wataja hapo juu si wageni machoni penu. Nikianza na kubenea ni jembe la ukweli la kujivunia Tanzania.

Ameweka maisha yake rehani kwa ile kiu ya haki iliyomo moyoni mwake. Hana tamaa ya fedha, Anauwezo mkubwa wa kujenga hoja na kuchambua vitu kwa undani.kondo na mwalugumbi nao wapo juu kwelikweli.Anae fahamu CV Zao naomba atujuze huenda tukapata ya kujifunza kwao.

Ahsanteni wakuu!
Kubenea ni tapeli tu aliwahi kufukuzwa kazi Rai na kushitakiwa kama sikosei kwenye baraza la vyombo vya habari ,kwa kuandika mahojiano ya uongo yaliyo mhusu Pius Ngeze wa Kagera(nafikiri alikuwa Mwenyekiti wa mkoa wa CCM) jamaa alijifanya amemhoji kumbe alitunga hiyo habari Mzee Ngeze akaja juu ikabidi akina Ulimwengu wamtimue .
 
Back
Top Bottom