Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
CV zao zitatusaidia nini nadhani kile wanacho-deliver kwa jamii ni zaidi ya CV,moyo wa kizalendo wa Kubenea ni zaidi ya cv.labda fafanua hoja yako imelenga nini,cv sio issue kwetu na kwa Tanzania cv hazijawasaidia wananchi.angalia viongozi wa serikali,wengi wana cv za nguvu lakini wamelifanyia nini taifa hili?
This is a real argument of a WEAK person, what do you fear for?