CV ya Saed Kubenea, Joster Mwalugumbi na Kondo Tutindaga


This is a real argument of a WEAK person, what do you fear for?
 

Na sasa ameketi Meza moja na mafisadi kwa ajili ya dinner
 
Lkn jamaani, mtu amehitaji cv ya nini kumkashifu??, kuuliza cv ni mhimu, sehemu yoyote ukiomba kazi lazima uambatanishe na cv yako. Kama hakuna jibu ni bora kukaa kimya.
 
Nimewaelewa wakuu, ukiona humu JF wanakataa
kutoa ushirikiano wa kutoa CV ya mtu ujue huyo ni
kilaza. Wengi washataka CV za watu fulani na zikatolewa mapema sana.
Ukiona watu wanagoma ujue hakuna kitu hapo.
Asanteni sana kwa kuweka ukweli.

Kubenea,
Elimu ya Sekondari Kidato cha Nne
Diploma
Mwandishi mwandamizi, Gazeti la Mwanahalisi

 
hatuhitaji cv kwa wazalendo,
wanatakiwa kupiga kazi kwani wasomi wa nchi hii wameshindwa kulisaidia taifa pamoja na ma phd,dk ya ukweli.

Yaani wewe ni kilaza wa kutupwa.
Kungekuwa na kitufe cha 'hate' ningekupa
 

Jambo la hatari sana.
Huu ni utapeli na udanganyifu wa hali ya juu.
Aisee
😠
 
wewe umetumwa na sisiemu eeh? acha upuuzi, cv zao ili iweje?

hatuhitaji cv kwa wazalendo,
wanatakiwa kupiga kazi kwani wasomi wa nchi hii wameshindwa kulisaidia taifa pamoja na ma phd,dk ya ukweli.


vp unataka kuanzisha gazeti au ndio majungu kama kawa?

CV zao zitakusaidia nini.

Ngome ya utetezi wa kibabe imejijenga ghafla.
Hicho mnachokificha tutakijua tu. CV yake hivi karibuni itakuwa kwenye mtandao wa bunge na hakuna siri tena.

Ukiona watu wanafanya hivi rejea ule msemo wa "debe tupu haliachi kutika".
 

Hapo kwenye bluu unajua ulichoandika? Na kwenye nyeusi je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…