Al Gore alikuwa kielimu pamoja na ukubwa CV hakushinda kwenye primaries za democrats 1992 na kupelekea Bill Clinton kumshinda; na kumfanya awe VP candidate wake akiacha kazi ya Useneta wa Tennesse.
Sina maana ya ku-discredit CV ya Prof; ila kuna nyakati siasa huwa inaangalia mvuto/kukubalika kwa wapiga kura kama karata ya kumfanya mtu achagulike.
Ni kama 2005; Dr. Salim was far better kwa CV na uzoeufu kuliko JK. Hali kadhalika Prof. Mark Mwandosya alikuwa na CV bora kuliko JK, yet kimkakati na mbinu na "mvuto wa sura" JK akalamba dume.
It take a lot of issues to look at pale candidate anapokuwa na sifa ya "kuteulika/kuchagulika".
Julai sio mbali; mbivu na mbichi zitajulikana.
Unaweza kushangaa yule alikuwa mtangaza matokeo 2015 "akawa ndiye"
Tusubiri moshi wa kijani toka visiaa vya karafuuu