CWT ihukumiwe kwa wizi huu

CWT ihukumiwe kwa wizi huu

anti-Glazer

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2023
Posts
291
Reaction score
482
Cwt ni chama Cha walimu nchini Tanzania.

Hakifanyi jambo lolote zaidi ya kuvuna asilimia mbili ya mishahara ya walimu.

Mei mosi ndio siku pekee ya tamko Kwa waajiri wote kusitisha makato ya 2% Hadi hapo suala hili litakapoangaliwa upya.

Juzi hapa waliokuwa viongozi was Cwt walipata uteuzi was mhe. Rais na wakajiondoa Kwa kukataa teuzi Ile. Ni nini kimejificha myuma ya pazia?

Je serikali inanufaika na Nini zaidi ya kushusha molare ya mwalim kuendelea kufundisha!? Kwa Nini serikali inaonekana kukumbatia chama haramu kama hiki.?

Waajiri wametishiwa kuruhusu walimu kujiunga na vyama vingine?

Kuna Nini kimejificha? Ni muda muagaka kutoa hukumu kwaa huyu kupe mnyonya damunza watu.

Zamani cwt kupe huyu alitumia mwanya wa kuanzisha benki, benk ikaanza na inafanyakazi. Vitegauchumi vikaanza KAZI hakuna taarifa huku kupe huyu mnyonyaji akiendelea kuvuna 2% ya mishahara ya walimu.

2% ni pesa nyingi sana. Ni Bora hiyo asimilia mbili ielekezwe katika mambo ya maana badala ya kuwaachia kikundi cha wakila. Kama Marais wa nchi mnatendelea kuwaachia Hawa wapuuz waendelee kula jasho la maskini. Hamtaishi Kwa amani. Magufuli alilinyamazia alikuwa akijua sababu ya kukaa kimya

Aliwashughulikia matajiri, wafanyabiashara, vyeti feki, mafisadi akawaacha mafisadi was cwt. Aliondoka na laana take. Mkapa, nk

Mzee kikwete aliwajali sana watumishi waalim ni awamu iliyotoa kipaombele kudeal na inflation at least kila mwaka alionyesha kumjali maskin.

Ni wakati wako mama rais samia kuondoa huyu mdudu Cwt. Hakubakili, hakuna mwanachama hata mmoja Leo umuulize akatetea Cwt ibaki.

Ni lazima mei mosi ijulikane na

CWT ihukumiwe kwa wizi huu

 
Mnaongoza nchi nzima kwenye maandamano ya mei mosi na t-shirt na kapelo yake
Sijui hata mmewahi kusomewa mahesabu ya Mwalimu House.
 
Mwalimu anabusara sans. Inatakiwa watawala wawe na roho ya nyoka
 
Anguko la CWT litatokea pale serikali itakaporuhusu makato ya vyama vingine. Kwa sasa wa kulaumiwa ni serikali kwa sababu wakurugenzi wake hawataki makato ya vyama vingine
 
Laana ya kuibia watu kura kila uchaguzi inawamaliza hahahahaaa! Karma is real na hao Cwt waendelee kuwanyonya mkondeane Hadi mshindwe kusimamia uchaguzi shwain kabisa!!
2020 nlikuwa wakala nkafukuzwa chumba cha kupiga kura na katicha kakishirikiana na mgambo flani skuizi nakaona kanatembea kamekondeana hata lifti sikapi natamani nikapige mitama basi tuu!!!
 
Walimu tumieni haki yenu ya kisheria ya uhuru wa kujumuika ambao umewekwa kisheria kwenye sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 ambayo inaruhusu mwalimu kujiunga na chama akitaka mfano siku hizi kuna chakuhawata ambacho kimewasha moto nchi nzima kwa makato ya tsh 5000 flat rate uwe na mshahara mkubwa au mdogo .Pia unaweza ukaamua usiwe member wa hayo mavyama ambayo lengo lake halisi si kumtetea mtumishi ila kuchuma pesa na kujinufaisha .Achaneni na mawazo potofu ya kwamba eti Cwt wana influence kwenye ajira yako .Jielemisheni kuhusu hivyo vikundi vya wasaka ngawila vijiitavyo vyama vya wafanyakazi
 
Kwani walimu wenyewe wanasema Je? Ila sikujua kama wanakatwa 2% michango ya CWT
 
Back
Top Bottom