Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,293
- 5,163
Kutokana na hukumu iliyotolewa na Mahakama juu ya mgogoro wa waalimu na serikali, nashawishika kusema kwamba Chama Cha Waalimu Tanzania (CWT) chini katibu wake Mukoba kimeamua kuwa uza waalimu kutokana na sababu zifuatazo;
1. Sitaki kuamini kwamba CWT hawakujua matokeo ya wao kupeleka hati ya kugoma serikalini siku zitazoangukia mapumziko na hivyo kuipa serikali nafasi ya kwenda mahakamani kutengeua mgomo. Hili ni kosa la 'kitekinikali' lililofanywa makusudi ili kupoza hasira za waalimu na wakati huo huo kuifavor serikali
2. Sijawahi kuwa na imani kuwa Mukoba ana dhamira ya dhati ya kushughulikia madai ya waalimu kama mnakumbuka kikao kilichofanyika mwaka 2009 (sina uhakika sana) pale diamond jubilee na kuambulia kipigo kutokana na kutaka kuwaviriga waalimu waliokuwa na msimamo thabiti juu ya madai yao
3. Maelezo ya mwanasheria wa waalimu ambaye aliiwakilisha CWT mahakamani yanaonesha kabisa alijiandaa kushindwa kesi kwani alijua maamuzi ya mahakama yatavyokuwa baada ya wao kufanya kosa la kitekinikali
NB. Haya ni maoni yangu huru na naamini maelezo ya Mukoba hapo baadae hayatakuwa na jipya zaidi ya kusalimu amri ya mahakama kwani ndivyo walivyokuwa 'wamepanga'
Waalimu mpo?
1. Sitaki kuamini kwamba CWT hawakujua matokeo ya wao kupeleka hati ya kugoma serikalini siku zitazoangukia mapumziko na hivyo kuipa serikali nafasi ya kwenda mahakamani kutengeua mgomo. Hili ni kosa la 'kitekinikali' lililofanywa makusudi ili kupoza hasira za waalimu na wakati huo huo kuifavor serikali
2. Sijawahi kuwa na imani kuwa Mukoba ana dhamira ya dhati ya kushughulikia madai ya waalimu kama mnakumbuka kikao kilichofanyika mwaka 2009 (sina uhakika sana) pale diamond jubilee na kuambulia kipigo kutokana na kutaka kuwaviriga waalimu waliokuwa na msimamo thabiti juu ya madai yao
3. Maelezo ya mwanasheria wa waalimu ambaye aliiwakilisha CWT mahakamani yanaonesha kabisa alijiandaa kushindwa kesi kwani alijua maamuzi ya mahakama yatavyokuwa baada ya wao kufanya kosa la kitekinikali
NB. Haya ni maoni yangu huru na naamini maelezo ya Mukoba hapo baadae hayatakuwa na jipya zaidi ya kusalimu amri ya mahakama kwani ndivyo walivyokuwa 'wamepanga'
Waalimu mpo?