DOKEZO CWT makao makuu yamtelekeza mwanachama Dodoma

DOKEZO CWT makao makuu yamtelekeza mwanachama Dodoma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Nguva Jike

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
1,226
Reaction score
1,757
Habari za muda huu.

Chama cha walimu makao makuu Dodoma chamtelekeza mwanachama wake bila huruma ndani ya jiji la Dodoma.

Hayo yalijiri siku ya tarehe 03.10.2024.Ambapo katika tarehe hiyo mwalimu kutoka Kilindi Tanga (jina na shule anayotoka inahifadhiwa)

Mwalimu huyo alifika Dodoma siku ya tarehe 02.10.2024 kwa usafiri wa Lori la mizigo kwani hakuwa na nauli ya basi.

Lengo la safari ya Dodoma ilikuwa ni kufika ofisi ya raisi-Tamisemi kupeleka malalamiko kadhaa dhidi ya mwajiri wake ikiwemo kutopatiwa stahiki za uhamisho na pesa za matibabu.

Kutokana na ukata aliokuwa nao ikambidi afike Dodoma cwt hq kuomba msaada.Ikumbukwe siku ya tarehe 02.10.2024 alilala booking office za Simba mtoto hakuwa na pesa ya gesti.

APOKELEWA NA MHUDUMU WA HUDUMA KWA WANACHAMA.

Siku ya tarehe 03.10.2024 akapokelewa na mhudumu tajwa na kuamrishwa aandike barua ya kuomba msaada.Alipoandika akapewa majibu kuwa hakuna cash kwa siku ile.

AOMBA HIDADHI YA KULALA AKATALIWA.

Siku ile ile akaomba msaada alale pale ofisini kwakuwa hakuwa na fedha ya gesti wala chakula lakini ofisi ilikataa na ikamlazimu alale kwenye basi siku ya 03.10.2024.

04.10.2024 AONDOKA DODOMA KWA KUUZA SIMU.

Baada ya kukosa msaada ikabidi auze simu ili ajikimu na kusafiri kurudi Kilindi.Ikumbukwe cwt wilaya ya Kilindi haikuonesha ushirikiano wowote kwa mwalimu yule japo wao ndio wenye jukumu la kumsaidia mwanachama wao.Viongozi wenyewe kwa wenyewe pale Cwt kilindi husaidiana kutatuliana shida zao na zinakaa vizuri.Katibu alivyotoka likizo alikwenda kwa ded kilindi akafuatilia shida za mwenzie na akafanikiwa kulipwa stahiki nyingi huku za wanachama wachangiaji wapo kimya.Mungu atashusha adhabu juu Yao amen.

VIONGOZI CWT HQ WAPO BUSY MIKOANI.

Mpaka kufikia tarehe ya leo 13.11.2024 wahasibu na viongozi wa Cwt Hq wapo busy mikoani hivyo kushindwa kumhudumia mwalimu alipe madeni aliyoingia akiwa Dodoma.

CWT YAMPUUZA MWALIMU NA KUJALI VIKAO.

Inaonekana viongozi CWT Makao makuu Dodoma wanajali vikao zaidi kuliko huduma kwa wanachama.Siku ya 03.10.2024 walionekana wakiwa busy na kuandaa mabegi ya vikao huku wakimtelekeza mwalimu Dodoma ambae michango yake ndio inayowaweka hao viongozi mjini.

Hii ni laana wanajitengenezea na napata mashaka na utendaji wao kwa wanachama.

Nawasilisha
 
Mhh mwalimu kulala stendi na kuuza simu usafiri, Dah apo si bora uwe boda

Aisee waajiriwa mtafutie kipato nje ya kazi na kuepuka mikopo ya ovyo uko benki.
 
Mshahara kapata tar. 24 halafu tar. 02 kakosa nauli ya basi na wakati huo hiyo safari siyo ya ghafla.
NOMA!
 
Mshahara kapata tar. 24 halafu tar. 02 kakosa nauli ya basi na wakati huo hiyo safari siyo ya ghafla.
NOMA!
Usicheke ....ukiingia huku Tena SERIKALI ZA MITAA NI AIDHA UWE CHAWA WA BOSI AMA CHAWA WA CCM ndio utatoboa.... Tofauti na hapo ni kuishi Kwa mshahara hadi mshahara.... Na mshahara unausubiri kama mwanamke na "mwezi" .... Ukifika tu siku nne nyingi mwezi umeisha unaanza Tena ....
 
Habari za muda huu.

Chama cha walimu makao makuu Dodoma chamtelekeza mwanachama wake bila huruma ndani ya jiji la Dodoma.

Hayo yalijiri siku ya tarehe 03.10.2024.Ambapo katika tarehe hiyo mwalimu kutoka Kilindi Tanga (jina na shule anayotoka inahifadhiwa)

Mwalimu huyo alifika Dodoma siku ya tarehe 02.10.2024 kwa usafiri wa Lori la mizigo kwani hakuwa na nauli ya basi.

Lengo la safari ya Dodoma ilikuwa ni kufika ofisi ya raisi-Tamisemi kupeleka malalamiko kadhaa dhidi ya mwajiri wake ikiwemo kutopatiwa stahiki za uhamisho na pesa za matibabu.

Kutokana na ukata aliokuwa nao ikambidi afike Dodoma cwt hq kuomba msaada.Ikumbukwe siku ya tarehe 02.10.2024 alilala booking office za Simba mtoto hakuwa na pesa ya gesti.

APOKELEWA NA MHUDUMU WA HUDUMA KWA WANACHAMA.

Siku ya tarehe 03.10.2024 akapokelewa na mhudumu tajwa na kuamrishwa aandike barua ya kuomba msaada.Alipoandika akapewa majibu kuwa hakuna cash kwa siku ile.

AOMBA HIDADHI YA KULALA AKATALIWA.

Siku ile ile akaomba msaada alale pale ofisini kwakuwa hakuwa na fedha ya gesti wala chakula lakini ofisi ilikataa na ikamlazimu alale kwenye basi siku ya 03.10.2024.

04.10.2024 AONDOKA DODOMA KWA KUUZA SIMU.

Baada ya kukosa msaada ikabidi auze simu ili ajikimu na kusafiri kurudi Kilindi.Ikumbukwe cwt wilaya ya Kilindi haikuonesha ushirikiano wowote kwa mwalimu yule japo wao ndio wenye jukumu la kumsaidia mwanachama wao.

VIONGOZI CWT HQ WAPO BUSY MIKOANI.

Mpaka kufikia tarehe ya leo 13.11.2024 wahasibu na viongozi wa Cwt Hq wapo busy mikoani hivyo kushindwa kumhudumia mwalimu alipe madeni aliyoingia akiwa Dodoma.

CWT YAMPUUZA MWALIMU NA KUJALI VIKAO.

Inaonekana viongozi CWT Makao makuu Dodoma wanajali vikao zaidi kuliko huduma kwa wanachama.Siku ya 03.10.2024 walionekana wakiwa busy na kuandaa mabegi ya vikao huku wakimtelekeza mwalimu Dodoma ambae michango yake ndio inayowaweka hao viongozi mjini.

Hii ni laana wanajitengenezea na napata mashaka na utendaji wao kwa wanachama.

Nawasilisha
Inafikirisha sana mkuu stahiki Zake una maanisha mshahara hajalipwa pia vip kuhusu kadi ya bima pia?? Na hana hata nauli wala hela ya kula?? au umeamua kunogesha story kidg.

Any way lkn mimi sio mwl hayanihusu pole ake Mungu amsaidie atimiziwe haja zake

Ndio maana watoto shule za gvt performance huwa ni avarage sana kwa kuwa hakuna motisha
 
Alissfiri ili akapewe hela Dodoma?! Kama hakuwa na fedha kwanini alilazimisha safari?! Mbona hujaelewa kama alifanikiwa kushughurikia suala lake?!
 
Habari za muda huu.

Chama cha walimu makao makuu Dodoma chamtelekeza mwanachama wake bila huruma ndani ya jiji la Dodoma.

Hayo yalijiri siku ya tarehe 03.10.2024.Ambapo katika tarehe hiyo mwalimu kutoka Kilindi Tanga (jina na shule anayotoka inahifadhiwa)

Mwalimu huyo alifika Dodoma siku ya tarehe 02.10.2024 kwa usafiri wa Lori la mizigo kwani hakuwa na nauli ya basi.

Lengo la safari ya Dodoma ilikuwa ni kufika ofisi ya raisi-Tamisemi kupeleka malalamiko kadhaa dhidi ya mwajiri wake ikiwemo kutopatiwa stahiki za uhamisho na pesa za matibabu.

Kutokana na ukata aliokuwa nao ikambidi afike Dodoma cwt hq kuomba msaada.Ikumbukwe siku ya tarehe 02.10.2024 alilala booking office za Simba mtoto hakuwa na pesa ya gesti.

APOKELEWA NA MHUDUMU WA HUDUMA KWA WANACHAMA.

Siku ya tarehe 03.10.2024 akapokelewa na mhudumu tajwa na kuamrishwa aandike barua ya kuomba msaada.Alipoandika akapewa majibu kuwa hakuna cash kwa siku ile.

AOMBA HIDADHI YA KULALA AKATALIWA.

Siku ile ile akaomba msaada alale pale ofisini kwakuwa hakuwa na fedha ya gesti wala chakula lakini ofisi ilikataa na ikamlazimu alale kwenye basi siku ya 03.10.2024.

04.10.2024 AONDOKA DODOMA KWA KUUZA SIMU.

Baada ya kukosa msaada ikabidi auze simu ili ajikimu na kusafiri kurudi Kilindi.Ikumbukwe cwt wilaya ya Kilindi haikuonesha ushirikiano wowote kwa mwalimu yule japo wao ndio wenye jukumu la kumsaidia mwanachama wao.

VIONGOZI CWT HQ WAPO BUSY MIKOANI.

Mpaka kufikia tarehe ya leo 13.11.2024 wahasibu na viongozi wa Cwt Hq wapo busy mikoani hivyo kushindwa kumhudumia mwalimu alipe madeni aliyoingia akiwa Dodoma.

CWT YAMPUUZA MWALIMU NA KUJALI VIKAO.

Inaonekana viongozi CWT Makao makuu Dodoma wanajali vikao zaidi kuliko huduma kwa wanachama.Siku ya 03.10.2024 walionekana wakiwa busy na kuandaa mabegi ya vikao huku wakimtelekeza mwalimu Dodoma ambae michango yake ndio inayowaweka hao viongozi mjini.

Hii ni laana wanajitengenezea na napata mashaka na utendaji wao kwa wanachama.

Nawasilisha
Mwalimu km mwalimu pole kwa maswahiba ila ni kawaida tu kwa Tanzania no body care!
 
Usicheke ....ukiingia huku Tena SERIKALI ZA MITAA NI AIDHA UWE CHAWA WA BOSI AMA CHAWA WA CCM ndio utatoboa.... Tofauti na hapo ni kuishi Kwa mshahara hadi mshahara.... Na mshahara unausubiri kama mwanamke na "mwezi" .... Ukifika tu siku nne nyingi mwezi umeisha unaanza Tena ....
Sijacheka na wala haichekeshi, lakini hili suala linaibua maswali. Hali za watumishi ni ngumu lakini si kama mwandishi anavyojaribu kuonesha.
Alisitishiwa mshahara?
Je, kazini amekosa mtu wa kumkopa hadi asafiri hivyo kama mwanafunzi aliyetelekezwa?
 
Habari za muda huu.

Chama cha walimu makao makuu Dodoma chamtelekeza mwanachama wake bila huruma ndani ya jiji la Dodoma.

Hayo yalijiri siku ya tarehe 03.10.2024.Ambapo katika tarehe hiyo mwalimu kutoka Kilindi Tanga (jina na shule anayotoka inahifadhiwa)

Mwalimu huyo alifika Dodoma siku ya tarehe 02.10.2024 kwa usafiri wa Lori la mizigo kwani hakuwa na nauli ya basi.

Lengo la safari ya Dodoma ilikuwa ni kufika ofisi ya raisi-Tamisemi kupeleka malalamiko kadhaa dhidi ya mwajiri wake ikiwemo kutopatiwa stahiki za uhamisho na pesa za matibabu.

Kutokana na ukata aliokuwa nao ikambidi afike Dodoma cwt hq kuomba msaada.Ikumbukwe siku ya tarehe 02.10.2024 alilala booking office za Simba mtoto hakuwa na pesa ya gesti.

APOKELEWA NA MHUDUMU WA HUDUMA KWA WANACHAMA.

Siku ya tarehe 03.10.2024 akapokelewa na mhudumu tajwa na kuamrishwa aandike barua ya kuomba msaada.Alipoandika akapewa majibu kuwa hakuna cash kwa siku ile.

AOMBA HIDADHI YA KULALA AKATALIWA.

Siku ile ile akaomba msaada alale pale ofisini kwakuwa hakuwa na fedha ya gesti wala chakula lakini ofisi ilikataa na ikamlazimu alale kwenye basi siku ya 03.10.2024.

04.10.2024 AONDOKA DODOMA KWA KUUZA SIMU.

Baada ya kukosa msaada ikabidi auze simu ili ajikimu na kusafiri kurudi Kilindi.Ikumbukwe cwt wilaya ya Kilindi haikuonesha ushirikiano wowote kwa mwalimu yule japo wao ndio wenye jukumu la kumsaidia mwanachama wao.

VIONGOZI CWT HQ WAPO BUSY MIKOANI.

Mpaka kufikia tarehe ya leo 13.11.2024 wahasibu na viongozi wa Cwt Hq wapo busy mikoani hivyo kushindwa kumhudumia mwalimu alipe madeni aliyoingia akiwa Dodoma.

CWT YAMPUUZA MWALIMU NA KUJALI VIKAO.

Inaonekana viongozi CWT Makao makuu Dodoma wanajali vikao zaidi kuliko huduma kwa wanachama.Siku ya 03.10.2024 walionekana wakiwa busy na kuandaa mabegi ya vikao huku wakimtelekeza mwalimu Dodoma ambae michango yake ndio inayowaweka hao viongozi mjini.

Hii ni laana wanajitengenezea na napata mashaka na utendaji wao kwa wanachama.

Nawasilisha
Kazi ya vyama vya wafanyakazi ni kukusanya michango na kula.
 
Usicheke ....ukiingia huku Tena SERIKALI ZA MITAA NI AIDHA UWE CHAWA WA BOSI AMA CHAWA WA CCM ndio utatoboa.... Tofauti na hapo ni kuishi Kwa mshahara hadi mshahara.... Na mshahara unausubiri kama mwanamke na "mwezi" .... Ukifika tu siku nne nyingi mwezi umeisha unaanza Tena ....
Unaishije mshahara hadi mshahara kijijini kuna mashamba? Kufuga kuku na bata je? Kufuga kanga? Mshahara hautoshi na huo uchawa hamuwezi watu wote mkawa machawa.
 
Habari za muda huu.

Chama cha walimu makao makuu Dodoma chamtelekeza mwanachama wake bila huruma ndani ya jiji la Dodoma.

Hayo yalijiri siku ya tarehe 03.10.2024.Ambapo katika tarehe hiyo mwalimu kutoka Kilindi Tanga (jina na shule anayotoka inahifadhiwa)

Mwalimu huyo alifika Dodoma siku ya tarehe 02.10.2024 kwa usafiri wa Lori la mizigo kwani hakuwa na nauli ya basi.

Lengo la safari ya Dodoma ilikuwa ni kufika ofisi ya raisi-Tamisemi kupeleka malalamiko kadhaa dhidi ya mwajiri wake ikiwemo kutopatiwa stahiki za uhamisho na pesa za matibabu.

Kutokana na ukata aliokuwa nao ikambidi afike Dodoma cwt hq kuomba msaada.Ikumbukwe siku ya tarehe 02.10.2024 alilala booking office za Simba mtoto hakuwa na pesa ya gesti.

APOKELEWA NA MHUDUMU WA HUDUMA KWA WANACHAMA.

Siku ya tarehe 03.10.2024 akapokelewa na mhudumu tajwa na kuamrishwa aandike barua ya kuomba msaada.Alipoandika akapewa majibu kuwa hakuna cash kwa siku ile.

AOMBA HIDADHI YA KULALA AKATALIWA.

Siku ile ile akaomba msaada alale pale ofisini kwakuwa hakuwa na fedha ya gesti wala chakula lakini ofisi ilikataa na ikamlazimu alale kwenye basi siku ya 03.10.2024.

04.10.2024 AONDOKA DODOMA KWA KUUZA SIMU.

Baada ya kukosa msaada ikabidi auze simu ili ajikimu na kusafiri kurudi Kilindi.Ikumbukwe cwt wilaya ya Kilindi haikuonesha ushirikiano wowote kwa mwalimu yule japo wao ndio wenye jukumu la kumsaidia mwanachama wao.

VIONGOZI CWT HQ WAPO BUSY MIKOANI.

Mpaka kufikia tarehe ya leo 13.11.2024 wahasibu na viongozi wa Cwt Hq wapo busy mikoani hivyo kushindwa kumhudumia mwalimu alipe madeni aliyoingia akiwa Dodoma.

CWT YAMPUUZA MWALIMU NA KUJALI VIKAO.

Inaonekana viongozi CWT Makao makuu Dodoma wanajali vikao zaidi kuliko huduma kwa wanachama.Siku ya 03.10.2024 walionekana wakiwa busy na kuandaa mabegi ya vikao huku wakimtelekeza mwalimu Dodoma ambae michango yake ndio inayowaweka hao viongozi mjini.

Hii ni laana wanajitengenezea na napata mashaka na utendaji wao kwa wanachama.

Nawasilisha
ndiyo kwanza wiki ya kwanza katika mwezi hana nauli dah?. ana mikopo mingapi huyo mwalimu?

nadhani ni muhimu masuala ya madai mbalimbali ya watumishi wa umma yakatafutiwa muda mzuri na wahusika. Yaani huna kitu na unasafiri kwenda kudai?

No,
Ni muhimu kujipanga vizuri, na haki yako haiwezi potea na kutia huruma si mbinu sahihi ya kuskizwa kwasabb taasisi za umma zinafanya kazi kwa maandishi na kwamba huwezi kusaidia bila idara husika kuwasiliana kwa maandishi.

next time ajipange vizuri 🐒
 
tatizo hivi vyama vya wafanyakazi ukiingia kwenye ajira unaungwa juu kwa juu bongo miyeyusho mingi
 
Kuna mahali mwandishi anasema mwalimu aliomba alale ofisini...
Huyu mwalimu anaibua maswali mengi.
Mikopo ya kichwakichwa inawamaliza sana walimu hasa wa vijijini. Kuna walimu ukiwasikiliza unatamani uwanase makofi akili iwakae sawa.
 
Kwa hiyo wakati anaenda Dodoma aliwataarifu kuwa anakuja na hana nauli ili wasiende vikao wamsubiri? Na alisafiri akiwa hana hela akitegemea nini?
 
Back
Top Bottom