DOKEZO CWT makao makuu yamtelekeza mwanachama Dodoma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Alissfiri ili akapewe hela Dodoma?! Kama hakuwa na fedha kwanini alilazimisha safari?! Mbona hujaelewa kama alifanikiwa kushughurikia suala lake?!
Wewe hujui adha wanazokutana nazo walimu ndio maana unaongea vima hapa.
 
Mwalimu posho yake ni mpaka kusimamia mtihani Tena uchaguliwe sio lazima.... Ama vitokee visemina vya masomo ..mwalimu kukutana na posho ni kama kukutana na trafiki ziwani....
 
 
Mwalimu posho yake ni mpaka kusimamia mtihani Tena uchaguliwe sio lazima.... Ama vitokee visemina vya masomo ..mwalimu kukutana na posho ni kama kukutana na trafiki ziwani....
Aisee mbona kazi ina kazi sana mkuu
 
Aisee mbona kazi ina kazi sana mkuu
Sijui Kwa Nini waliwaondolea " teaching allowance" ambayo walikuwa wanalipwa kama tu wanavyolipwa majeshi na Sasa wanawalipa na watendaji wa vijiji na kata pamoja na Walimu wakuu na waratibu elimu wa kata yaani wanawalipa....yaani Walimu ,madaktari na manesi Hawa watu ndio wakulipwa Sasa allowance za mazingira magumu sio kuzipeleka polisi na majeshini Ili tu walinde utawala wao. Walimu Wana hali ngumu.
 
Walimu wengi kinacho waumiza ni tamaa mambo ya kufanya miezi 6 mtu ana taka ayafanye kwa wiki moja .mnaishia kwenye mikopo na ukianza kukopa utoki utakuwa hadi ustaafu
 
Hii ni laana wanajitengenezea na napata mashaka na utendaji wao kwa wanachama.
Hamna kitu inaitwa laana.

Ukiamini hicho, utateseka kwa kuamini fulani anakukosea kusudi hivyo atapata laana na utaishia kuona akidunda tu na wewe ukizidi kutaabika.

Na hata akianguka, anguko lake halitakunufaisha wewe utaishia kujifariji kua kapata laana.
 
Mpaka pale litakapomfika mtu ndipo ataongea kimoyomoyo na kukiri yeye mwenyewe CWT wana dhambi kwakuwa hawawatendei haki kazi yao ni kufurahia michango ya walimu lkn nasema muda utaongea.
 
Hii story kama ni ya kweli basi kuna mahala hapo sawa upande wa mwalimu. Mwalimu utoke Tanga hadi Dodoma bila nauli wala hela ya kujikimu je ina maana hata jamaa(ndugu, marafiki, staff mate nk) wameshindwa kuguswa na tatizo lake mpaka wamwache ktk hali ya kudhalilika hivyo?
Pili mnaolaumu pia hivi vyama mtuambie ni chama gani cha wafanyakazi hapa nchini hutoa msaada wa kifedha kwa wanachama wao? Nachojua hivi vyama vipo kutoa msaada wa kisheria sijasikia popote kama vinatoa msaada wa kifedha. Vinginevyo watumishi wa umma tujifunze kuishi vizuri na wanaotuzunguka naamni baadhi ya mambo wanaweza kusaidia tusiingie fedheha
 
Nina mashaka na mwl .Yaani pesa za likizo ufunge safari toka Tanga vijijini hadi Tamisemi Dodoma!
Aeleze vema vinginevyo kuna tatio mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…