MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 129
- 263
Naombeni muongozo wakuu ni pitr njia zipi, Na ndoto kuwa siku moja nije kuwa rais wa chama Cha walimu Tanzania.
Bado nipo chuo mwaka wa pili nasoma bachelor of science with education.
Vipaumbele takapo kuwa rahisi wa CWT apo mwaka 2040
01. Pambana nyongeza za mishahara kwa walimu.
02. Huduma za usafiri Bure kwa walimu, yaani kutakuwa na vituo maalumu kwa ajiri ya walimu.
03. Walimu kutoa mtu mmoja kama mwakilishi bungeni.
04. Kuboresha mazingira ya kufundisha.
05. Nyumba za walimu.
06. Benki imara ya walimu.
Ni Mimi mwalimu mtarajiwa
Bado nipo chuo mwaka wa pili nasoma bachelor of science with education.
Vipaumbele takapo kuwa rahisi wa CWT apo mwaka 2040
01. Pambana nyongeza za mishahara kwa walimu.
02. Huduma za usafiri Bure kwa walimu, yaani kutakuwa na vituo maalumu kwa ajiri ya walimu.
03. Walimu kutoa mtu mmoja kama mwakilishi bungeni.
04. Kuboresha mazingira ya kufundisha.
05. Nyumba za walimu.
06. Benki imara ya walimu.
Ni Mimi mwalimu mtarajiwa