CWT naomba majibu ya maswali haya

CWT naomba majibu ya maswali haya

Doto12

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
640
Reaction score
1,141
i) Mapato yatokanayo na vitega uchumi vya chama mfano: Mwalimu house na ofisi za CWT kila mkoa (rent), je vinamnufaishaje mwalimu ambaye ni mchangiaji mkuu?

ii)Kwanini C.W.T wanakusanya michango kwa wanachama kila mwezi badala ya kukusanya mara moja kwa mwaka kama vyama vingine?

iii) Kwanini kuna tofauti katika makato ya kuchangia mfuko wa C.W.T wakati huduma ni sawa? Kuna nini kinachoongezeka kwa anayekatwa zaidi na nini kinachopungua kwa anayekatwa chini? Tofauti hizo zinaletwa na mfumo wa asilimia zilizowekwa na hivyo kuweka wachangiaji katika matabaka yasiyo na tija wakati huduma ni sawa.
 
Mwalimu fundisha, kula vumbi ya chaki, acha kupiga viboko watoto wa watu wewe timiza jukumu lako tuu kufundisha

Hayo maswali huwezi kupata majibu maana vyama vyote vya wafanyakazi ni Gvt = sisiem
 
i) Mapato yatokanayo na vitega uchumi vya chama mfano: Mwalimu house na ofisi za CWT kila mkoa (rent), je vinamnufaishaje mwalimu ambaye ni mchangiaji mkuu?

ii)Kwanini C.W.T wanakusanya michango kwa wanachama kila mwezi badala ya kukusanya mara moja kwa mwaka kama vyama vingine?

iii) Kwanini kuna tofauti katika makato ya kuchangia mfuko wa C.W.T wakati huduma ni sawa? Kuna nini kinachoongezeka kwa anayekatwa zaidi na nini kinachopungua kwa anayekatwa chini? Tofauti hizo zinaletwa na mfumo wa asilimia zilizowekwa na hivyo kuweka wachangiaji katika matabaka yasiyo na tija wakati huduma ni sawa.
Vyama vyote vya wafanyakazi kinachofanyika ni sawa na ulivyoeleza.Hakuna tofauti.
 
Vyama vyote vya wafanyakazi ni miradi ya serikali (government projects). Ndio maana hata viongozi wa vyama hivi ni makada wa "chama twawala", hawawezi kuhimiza mabadiliko wala kutetea haki za wafanyakazi.

Hivyo, udhaifu wa vyama hivi ndio unafanya serikali iendelee kuwa imara madarakani.
 
i) Mapato yatokanayo na vitega uchumi vya chama mfano: Mwalimu house na ofisi za CWT kila mkoa (rent), je vinamnufaishaje mwalimu ambaye ni mchangiaji mkuu?

ii)Kwanini C.W.T wanakusanya michango kwa wanachama kila mwezi badala ya kukusanya mara moja kwa mwaka kama vyama vingine?

iii) Kwanini kuna tofauti katika makato ya kuchangia mfuko wa C.W.T wakati huduma ni sawa? Kuna nini kinachoongezeka kwa anayekatwa zaidi na nini kinachopungua kwa anayekatwa chini? Tofauti hizo zinaletwa na mfumo wa asilimia zilizowekwa na hivyo kuweka wachangiaji katika matabaka yasiyo na tija wakati huduma ni sawa.
kazi ipo. na ukijitoa unaendelea kukatwa tu
hakuna atakayekupa majibu. angalau nakushauri upitie sheria inasemaje kuhusu hivyo vipengele na uone kama sheria haifuatwi
 
Back
Top Bottom