Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Hawa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) sijui wamekumbwa na nini, mara nyingi sare zao siyo 'unique' kabisa. Je, hawana watu wabunifu wa kuja na sare zenye 'akili'?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hivi Mrema atastaafu lini ?
Kwani bado yupo hai tu?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hivi Mrema atastaafu lini ?
😆😆😆😆Kwani bado yupo hai tu?
Kama kuna watu wa hovyo ni waalimu,Hawa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) sijui wamekumbwa na nini, mara nyingi sare zao siyo 'unique' kabisa. Je, hawana watu wabunifu wa kuja na sare zenye 'akili'?
View attachment 1754977View attachment 1754978
Kama kuna watu wa hovyo ni waalimu,
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji24][emoji24][emoji2]Kwani bado yupo hai tu?
Katika hili,hekima yako imepungua.Kama kuna watu wa hovyo ni waalimu,
I have reasonsKatika hili,hekima yako imepungua.
....mmm, Hoja yako no Fikirishi, Mkuu!I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye
Wapo wengi tu Wana div1,wanachukua education pale chang'ombeI have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye