sidhani , form gani waliingia nayo pale?Wapo wengi tu Wana div1,wanachukua education pale chang'ombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sidhani , form gani waliingia nayo pale?Wapo wengi tu Wana div1,wanachukua education pale chang'ombe
Ni tofauti ya TLP haina ufito mweupe Wala haina mikono meusiHawa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) sijui wamekumbwa na nini, mara nyingi sare zao siyo 'unique' kabisa. Je, hawana watu wabunifu wa kuja na sare zenye 'akili'?
View attachment 1754977View attachment 1754978
KAMA HUONI KAVAE MIWANIHawa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) sijui wamekumbwa na nini, mara nyingi sare zao siyo 'unique' kabisa. Je, hawana watu wabunifu wa kuja na sare zenye 'akili'?
View attachment 1754977View attachment 1754978
Best umekariri vibaya. Hujui kuna degree ya education? Na wengi wanaingia direct kutoka form six? Ambao wamefaulu form four na six. Weewe unazungumzia walimu wa grade A. Tena ilifutwa mwendazake akairudisha kisiasa.sidhani , form gani waliingia nayo pale?
Selection inafanya serikali kwa mujibu wa mahitaji, Sasa Kama mwanao kapata div1 hutaki aende education, kamlipie tu private universitysidhani , form gani waliingia nayo pale?
Vyama vingi vya wafanyakazi vina shida siyo CWT tuu. Binafsi sichangii chama cha wafanyakazi kwsbb hyo. Naona viongozi wengi wanajali matumbo yao.I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye
Unaongea usilojua. Kama kuna Kada ambayo enrollment yake ipo strict ni walimu. Fuatilia sifa za kujiunga kila Kozi kwa vyuo vya umma unavyojua, kuanzia Certificate mpaka Shahada ya Uzamivu, ili upate kujifunza.I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye
Sio kweli....!Walimu wapo waliofaulu nenda DUCE utawakuta....I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye
Sasa mbona hiyo kada haibadiliki, hata kudai haki zao hawawezi, wanachoweza wao ni saidia ccm ishinde.Sio kweli....!Walimu wapo waliofaulu nenda DUCE utawakuta....
Kuna Walimu wanalipwa hela nyingi kuliko unavyodhania
Nilichosoma kupitia wewe ni kuwa una chuki na Walimu....kuna kitu umekijenga akilini mwako dhidi ya walimu
Umekosa busara na hekima hadi ulipo hapo hao unaowatusi ndio wamekusaidiaI have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye
Acha kuishi kwa kukariri kuna watu ni walimu na tuna matokeo mazuri tu ya four na six....!I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye
Acha uongo wanajeshi, manesi na wengine90% ya wafanyakazi wote serikalini ni walimu ama wa kufundisha ama wa kupitia kama daraja
Sio kweli....!Walimu wapo waliofaulu nenda DUCE utawakuta....I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye
Unafiki,shobo,kujipendekeza na kutengana,kugombana wao kwa wao,na kila mtu kujijua yeye na tumbo lake ndo tatizo linalowakabili....Sasa mbona hiyo kada haibadiliki,hata kudai haki zao hawawezi,wanachoweza wao ni saidia ccm ishinde.
Maswali ya kipumbavuCWT ndio nini?
Ni kutokujiamini tu,hii ni kada ambayo kama wangejiami ni very potential.Sio kweli....!Walimu wapo waliofaulu nenda DUCE utawakuta....
Kuna Walimu wanalipwa hela nyingi kuliko unavyodhania
Nilichosoma kupitia wewe ni kuwa una chuki na Walimu....kuna kitu umekijenga akilini mwako dhidi ya walimu
Unafiki,shobo,kujipendekeza na kutengana,kugombana wao kwa wao,na kila mtu kujijua yeye na tumbo lake ndo tatizo linalowakabili....
Ile kaulimbiu yao ya sijui solidarity sijui nn uko mbele Kama wangeliifanya kwa vitendo wangefika mbali....
We ng'ombe, jeshini mnaenda kwa sifa gani? Huko nursing na maabara je? Community development je? Sheria mnaendaje? Kama uliachwa au kukataliwa uchumba na mwalimu usilete chuki zako za ziada kwa walimu.I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......
5 Nitaongezea baadaye
Umeongea fact mzee🤙🏿✔️👊🏿Ni kutokujiamini tu,hii ni kada ambayo kama wangejiami ni very potential.
Mioyoni mwao ni kama vile wana hatia,wanaogopa kuiudhi serikali kana kwamba watafukuzwa kazi.
Hakuna mwalimu akasifia kazi ya mwalimu mwenzie, hii ni laana ya asili.Chama cha walimu kimejaa viongozi wajinga kweli haya wapeni hao walimu wavae hayo magwanda ya TLP [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Idara gani nchi hii iliwahi kudai na kupata hizo haki? Kama una akili timamu Rais Mwinyi alienda kuangalia mpira wakati madaktari Mhimbili wamegoma. Na hata baada ya hapo kilichoendelea unakijua?Sasa mbona hiyo kada haibadiliki,hata kudai haki zao hawawezi,wanachoweza wao ni saidia ccm ishinde.