CWT wameishiwa ubunifu, Mei Mosi kuvaa sare inayoendana na ya TLP

CWT wameishiwa ubunifu, Mei Mosi kuvaa sare inayoendana na ya TLP

I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Vyama vingi vya wafanyakazi vina shida siyo CWT tuu. Binafsi sichangii chama cha wafanyakazi kwsbb hyo. Naona viongozi wengi wanajali matumbo yao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Unaongea usilojua. Kama kuna Kada ambayo enrollment yake ipo strict ni walimu. Fuatilia sifa za kujiunga kila Kozi kwa vyuo vya umma unavyojua, kuanzia Certificate mpaka Shahada ya Uzamivu, ili upate kujifunza.

Wakati kujiunga Certificate ya ualimu tena course miaka 2, sifa ilikuwa Div. IV mwisho point 28 ( warau D 7), vyuo vya serikali ilikuwa Div.IV pint 26. Sasa Angalia Kada zingine sifa mpaka sifa ni warau D Mmbili ( Walimu wanafuta kwanza ngazi hii)!!
 
I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Sio kweli....!Walimu wapo waliofaulu nenda DUCE utawakuta....

Kuna Walimu wanalipwa hela nyingi kuliko unavyodhania

Nilichosoma kupitia wewe ni kuwa una chuki na Walimu....kuna kitu umekijenga akilini mwako dhidi ya walimu
 
Sio kweli....!Walimu wapo waliofaulu nenda DUCE utawakuta....

Kuna Walimu wanalipwa hela nyingi kuliko unavyodhania

Nilichosoma kupitia wewe ni kuwa una chuki na Walimu....kuna kitu umekijenga akilini mwako dhidi ya walimu
Sasa mbona hiyo kada haibadiliki, hata kudai haki zao hawawezi, wanachoweza wao ni saidia ccm ishinde.
 
I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Umekosa busara na hekima hadi ulipo hapo hao unaowatusi ndio wamekusaidia
 
I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Acha kuishi kwa kukariri kuna watu ni walimu na tuna matokeo mazuri tu ya four na six....!
 
I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Sio kweli....!Walimu wapo waliofaulu nenda DUCE utawakuta....

Kuna Walimu wanalipwa hela nyingi kuliko unavyodhania

Nilichosoma kupitia wewe ni kuwa una chuki na Walimu....kuna kitu umekijenga akilini mwako dhidi ya walimu
Sasa mbona hiyo kada haibadiliki,hata kudai haki zao hawawezi,wanachoweza wao ni saidia ccm ishinde.
Unafiki,shobo,kujipendekeza na kutengana,kugombana wao kwa wao,na kila mtu kujijua yeye na tumbo lake ndo tatizo linalowakabili....

Ile kaulimbiu yao ya sijui solidarity sijui nn uko mbele Kama wangeliifanya kwa vitendo wangefika mbali....
 
Sio kweli....!Walimu wapo waliofaulu nenda DUCE utawakuta....

Kuna Walimu wanalipwa hela nyingi kuliko unavyodhania

Nilichosoma kupitia wewe ni kuwa una chuki na Walimu....kuna kitu umekijenga akilini mwako dhidi ya walimu
Unafiki,shobo,kujipendekeza na kutengana,kugombana wao kwa wao,na kila mtu kujijua yeye na tumbo lake ndo tatizo linalowakabili....

Ile kaulimbiu yao ya sijui solidarity sijui nn uko mbele Kama wangeliifanya kwa vitendo wangefika mbali....
Ni kutokujiamini tu,hii ni kada ambayo kama wangejiami ni very potential.
Mioyoni mwao ni kama vile wana hatia,wanaogopa kuiudhi serikali kana kwamba watafukuzwa kazi.
 
I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
We ng'ombe, jeshini mnaenda kwa sifa gani? Huko nursing na maabara je? Community development je? Sheria mnaendaje? Kama uliachwa au kukataliwa uchumba na mwalimu usilete chuki zako za ziada kwa walimu.

Kote huko mnaenda na D4 tu wakati ualimu huwezi kwenda hata kwa rushwa.
 
Sasa mbona hiyo kada haibadiliki,hata kudai haki zao hawawezi,wanachoweza wao ni saidia ccm ishinde.
Idara gani nchi hii iliwahi kudai na kupata hizo haki? Kama una akili timamu Rais Mwinyi alienda kuangalia mpira wakati madaktari Mhimbili wamegoma. Na hata baada ya hapo kilichoendelea unakijua?
 
Back
Top Bottom