CWT wameishiwa ubunifu, Mei Mosi kuvaa sare inayoendana na ya TLP

CWT wameishiwa ubunifu, Mei Mosi kuvaa sare inayoendana na ya TLP

Hawa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) sijui wamekumbwa na nini, mara nyingi sare zao siyo 'unique' kabisa. Je, hawana watu wabunifu wa kuja na sare zenye 'akili'?
View attachment 1754977View attachment 1754978

Sijui kwanini hivyo rangi nyeusi isinge dominate

Yaani T-shirt iwe ni black then hiyo yellow inakuwa sehemu ndogo sana labda kwenye nembo tu na mfukoni
 
Hivi mai mosi ni kwa ajili ya walimu tu? maana nawaona ndyo wanahisi kama wao ni watumishi pekee nchi hii.
Ni kwa sababu wanachukua sehemu kubwa ya idadi ya watumishi wote wa Serikali nchini. Fuatilia Maadhimisho ya Mei Mosi mwaka huu, then utapata jibu la swali lako kwa uhakika zaidi.
 
I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Reasoning yako ni takataka. Kuna walimu wengi wenye BAED, waliopata Division 1 Form 4&6.

Ulivyo na akili finyu unadhani mwalimu ni Diploma na Grade A pekee. Halafu na wewe unajiona akili kubwa kuliko mwalimu.
 
Ni kada ambayo they are highly disciplined ukiachana na wanajeshi ,,kila hoja hujibiwa kwa hoja,, ubovu ni kwamba hao unaowapelekea hoja hiyo hawajali,, usije kuropoka eti hawajiamin
Walimu kama walimu inawezekana ni kweli they are highly discplined ndo maana hawathubutu hata kudai haki zao.

By the way hakuna kitu unaweza kunifundiisha kuhusu walimu Wa Tanzania hii,enzi zetu ualimu na upolice ilikuwa ndo last selection kwa ambao hawajafanya vizuri darasani.

Sa hivi imekuwa dili sababu population na ajira imekuwa ngumu imekuwa makimbilio.

Nakaribisha povu.
 
Walimu kama walimu inawezekana ni kweli they are highly discplined ndo maana hawathubutu hata kudai haki zao.

By the way hakuna kitu unaweza kunifundiisha kuhusu walimu Wa Tanzania hii,enzi zetu ualimu na upolice ilikuwa ndo last selection kwa ambao hawajafanya vizuri darasani.

Sa hivi imekuwa dili sababu population na ajira imekuwa ngumu imekuwa makimbilio.

Nakaribisha povu.
Ndo maana umesema "enzi zenu" jua kitu kimoja hii sio enzi zenu,, by the way sio bongo tuu hata USA wanalipwa kidogo comparing na watu wa kada zingine ambao wamesoma the same duration na hao wa ualimu
 
I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Asingekuwa mwl leo hii usingeweza kuandika hvo pumba zako hzo
 
I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Umeandika kwa hisia zaidi kuliko ukweli. Labda walimu wa astashahada (cerificate), wale wa shule za msingi! Tena ni wale wa zamani kabisa.

Ila ukweli ni kwamba, walimu walio wengi wana elimu nzuri tu! Na walifaulu vizuri tu Sekondari na vyuoni. Na siyo failures kama unavyo wachukulia wewe.


Ni hii tu Serikali yako mbovu ya ccm, ndiyo inayo changia walimu wa nchi hii kudharauliwa na watu wenye mtazamo hasi kama wewe kupitia mishahara mbuzi na isiyo endana na elimu na majukumu yao, na pia kuendelea kukilinda kile kikundi cha wapigaji wa 2% ya mishahara yao kila mwezi (CWT).
 
Ndo maana umesema "enzi zenu" jua kitu kimoja hii sio enzi zenu,, by the way sio bongo tuu hata USA wanalipwa kidogo comparing na watu wa kada zingine ambao wamesoma the same duration na hao wa ualimu
Ila uko USA, ulaya mwalimu anapewa heshima sana na wanlipwa vizuri sana,huku kwetu dah mnataabika sana CWT yenu haiko kwa ajili ya maslahi yenu iko kwa ajili ya maslahi ya ccm,has a kipindi cha kusimamia uchaguzi.

Mnakujaga kufaidika baada ya kustaafu mnapigwa hela ndefu sana ya mafao,na bado mnakuja kuwa mtaji Wa wale jamaa Wa hela tuma kwenye no hii(nimechomekea).

Ujerumani mwalimu ndo analipwa hela ndefu kuliko hata mbunge nyie huku endeleeni kuwa discplined.
 
Higher learning institutions hakuna walimu, wana jina lao wanaitwa, Walimu sekondari kuja chini
Umenielewa lakini? Nimemaanisha hiyo CWT inajumuisha walimu wote wa shule za Msingi na Sekondari nchini! Hivyo unaposema wengi wao ni failures, basi ni vyema ukamaanisha wale wa zamani wa astashahada (cheti) almaarufu kama grade A! Tena hata hao bado hawakufeli! Maana wengi waio walipata Division four!

Na hao kwa sasa wamepungua sana kwa sababu wengi wao wamejiendeleza! Ukija Sekondari, walimu wote wana Stashahada (Diploma) na Shahada (Bachelor Digree)! Lakini pia wapo ambao wamejiendeleza zaidi na kumiliki Postgraduate na Masters Degrees!

Sasa unaposema ni failures, unamaanisha nini? Maana Baraza la Mitihani la Taifa linamtambua Mtahiniwa kuwa amefeli ni mpaka apate Daraja sufuri (Division 0)! Je, una ushahidi wa hao Walimu wenye Madaraja Sufuri na wanafundisha huko mashuleni?

Acha mihemko mzee baba! Heshimu kazi za watu wengine, maana huijui kesho yako. Na mbaya zaidi hao watu wanaendesha maisha yao kwa kazi hizo hizo, huku ukiwa huna msaada wowote uke kwao. Acha kabisa hii tabia ya kujimwambafai. Siyo nzuri hata kidogo.

Kama hao Walimu ni Ma failures, ilikuwaje wewe ukajua hata kusoma tu na kuandika? Au hata hiki kiswahili ulicho kiandika hapa, ulifundishwa na Walimu Wakenya?
 
Na hao kwa sasa wamepungua sana kwa sababu wengi wao wamejiendeleza! Ukija Sekondari, walimu wote wana Stashahada (Diploma) na Shahada (Bachelor Digree)! Lakini pia wapo ambao wamejiendeleza zaidi na kumiliki Postgraduate na Masters Degrees!
Yote hayo ni sawa kabisa. Wanajiendeleza sana na kuwa juu kabisa. Kuna Maprof wengi wa zamani walimaliza darasa la nane, lkn wakajiendeleza na kuwa watu wenye weledi mkbwa kabisa. Point yangu ni kuwa walianza wakiwa failures. Hakuna (I stand to be corrected) mtoto anayepata Div 1 iwe form 4/6 akaenda ualimu. Wanakwenda baada ya kutoa cream ya form five, Universities wanaobaki wanakwenda ualimu. Ndiyo argument yangu.
 
Mrema katumia ujasusi
FB_IMG_1617297240791.jpg
 
Yote hayo ni sawa kabisa. Wanajiendeleza sana na kuwa juu kabisa. Kuna Maprof wengi wa zamani walimaliza darasa la nane, lkn wakajiendeleza na kuwa watu wenye weledi mkbwa kabisa. Point yangu ni kuwa walianza wakiwa failures. Hakuna (I stand to be corrected) mtoto anayepata Div 1 iwe form 4/6 akaenda ualimu. Wanakwenda baada ya kutoa cream ya form five, Universities wanaobaki wanakwenda ualimu. Ndiyo argument yangu.
Bado hauko sahihi mheshimiwa! Kama ulikua hujui ni hivi, Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) linamtambua Mtahiniwa aliyepta daraja sufuri pekee kama mtu aliyefeli.

Sasa nakuuliza hivi, ulishawahi kumuona au hata kusikia tu kuna mwalimu anafundisha ngazi yoyote ile akiwa amefeli kwa kiwango hicho daraja sufuri?

By the way, unafahamu sifa za kujiunga na fani nyingine katika nchi yetu? Mfano fani ya uuguzi kwa ngazi ya cheti, upolisi, jeshi, na nyinginezo nyingi tu? Wengi wanaangukia kwenye hiyo division four kama hao walimu tena ni wale wa ngazi ya cheti pekee!

Mbona hao huwaiti failures? Wewe ni walimu tu!!!
 
Bado hauko sahihi mheshimiwa! Kama ulikua hujui ni hivi, Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) linamtambua Mtahiniwa aliyepta daraja sufuri pekee kama mtu aliyefeli.

Sasa nakuuliza hivi, ulishawahi kumuona au hata kusikia tu kuna mwalimu anafundisha ngazi yoyote ile akiwa amefeli kwa kiwango hicho daraja sufuri?

By the way, unafahamu sifa za kujiunga na fani nyingine katika nchi yetu? Mfano fani ya uuguzi kwa ngazi ya cheti, upolisi, jeshi, na nyinginezo nyingi tu? Wengi wanaangukia kwenye hiyo division four kama hao walimu tena ni wale wa ngazi ya cheti pekee!

Mbona hao huwaiti failures? Wewe ni walimu tu!!!
Nakubaliana nawewe kwa yote, LAKINI ishu yangu ni kuwa kwanini Div1&2 na pengine na Div 3 hawaendi ualimu? Why?
Polisi na jeshi inafahamika rasmi kuwa jeshini ni nguvu , kule hawahitaji akili za darasani. Umewahi sikia msema "kama kawaida ya wanajeshi, MITULINGA MINGI AKILI KIDOGO" (najua sasa imebadilika kidogo..... kuna MDs wako jeshini etc etc...

Nimesingle out walimu kwa sabau ni sector nyeti kwa ustawi wa elimu Tanzania na duniani. Kwetu wanaenda waliofeli. Kibaya wakishaenda kule wanajiachia na kuwa wa hovyo! Failure wa kozi ya uhasibu anajiweka smart na mbwembwe nyingi mtaani as if hakupata div 0 form 4! Walimu wanashindwaje kujiweka vema? (si wote).
 
Ila uko USA, ulaya mwalimu anapewa heshima sana na wanlipwa vizuri sana,huku kwetu dah mnataabika sana CWT yenu haiko kwa ajili ya maslahi yenu iko kwa ajili ya maslahi ya ccm,has a kipindi cha kusimamia uchaguzi.

Mnakujaga kufaidika baada ya kustaafu mnapigwa hela ndefu sana ya mafao,na bado mnakuja kuwa mtaji Wa wale jamaa Wa hela tuma kwenye no hii(nimechomekea).

Ujerumani mwalimu ndo analipwa hela ndefu kuliko hata mbunge nyie huku endeleeni kuwa discplined.
Nchi ambazo waalimu wake hawalalamiki kuhusu mishahara hazizidi 10,, na hao waliweka elimu kipaumbele ila wengine wote hata huyo USA unaemsemea mwalimu analipwa kidogo comparing na unavyofikiri
 
Back
Top Bottom