CWT wamejipanga kurudisha imani kwa wanachama wao waliokimbilia CHAHUWATA

CWT wamejipanga kurudisha imani kwa wanachama wao waliokimbilia CHAHUWATA

Gamahaaaa

Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
41
Reaction score
43
Wakati mwaka ndio kwanza umepinduka, hali ya mwalimu bado ni tete. Ahadi walizopewa na mwajiri hazijatekelezwa.

Sasa viongozi wa CWT wilaya wanafanya ziara ili kurudisha imani na matumaini kwa wanachama wao kwamba mambo yatakuwa mazuri muda siomrefu.

Kwa ufupi maswali wanayoulizwa wanashindwa kujibu kabisa. Yaani kifupi wamebanwa kila Kona:

1. Serekali imetunisha misuli katika kufuata Hali za waajiriwa

2. CHAKAHUWATA wanazidi kuwachomoa wanachama wao Kwa kuweka makato kidogo.

Yaani chai moto kikombe moto!!
 
Wanatumia wakurugenzi kuwatisha waqlimu wasihame....ujinga mtupu....wakizingua wajibu wao wanaujua Oct paleeeee kqzi ni moja tu hivi maono yameshatabiriwa basi sawa kazi moja acha achezee pesa sasa watu wale pesa za bure ila tunajua nini cha kufanya
 
Back
Top Bottom