Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
Wadau nina ndoto ya siku za hivi karibuni kufungua cyber cafe(internet cafe),malengo yangu ni kuanza na compyuta tano.
Ningependa kujua ili kuanziasha cafe hiyo ninahitajika kuwa na vitu gani(ukiondoa kompyuta,fenicha and fittings) ili nianze kuoparate,na inaweza kugharimu kiasi?
Naomba msaada kwa wenye utaalamu na hii kitu.Ahsanteni
Ningependa kujua ili kuanziasha cafe hiyo ninahitajika kuwa na vitu gani(ukiondoa kompyuta,fenicha and fittings) ili nianze kuoparate,na inaweza kugharimu kiasi?
Naomba msaada kwa wenye utaalamu na hii kitu.Ahsanteni