Pre GE2025 Cyprian Musiba: Taasisi ya Global Watch ya Malawi imeonesha kuwa Rais Samia anakubalika kwa asilimia 91. Lissu ni watu 2 kati ya 10

Pre GE2025 Cyprian Musiba: Taasisi ya Global Watch ya Malawi imeonesha kuwa Rais Samia anakubalika kwa asilimia 91. Lissu ni watu 2 kati ya 10

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

McLaren

Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
53
Reaction score
78
Tanzania ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kuwa tafiti zinaonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), anaungwa mkono kwa asilimia 91 katika kaya mbalimbali za Tanzania Bara. Wakati huo huo, vyama vya upinzani vinaungwa mkono kwa asilimia 9 pekee.

Akizungumza Machi 3, 2025, kuhusu utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Global Watch African Limited kutoka Malawi, kwa kushirikiana na CZI Tanzania Limited, ya Jijini Dar es salaa. Musiba ameeleza kuwa taasisi hizo zilipeleka watafiti wao katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Kulingana na matokeo yao, watu 10 walihojiwa katika kila mtaa

Watu 7 kati ya 10 walionyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Watu 2 walionyesha kumuunga mkono Tundu Lissu, Mmoja alikiri kutokuwa na msimamo kuhusu uchaguzi

Aidha, Musiba amebainisha kuwa, ingawa tafiti zinaonesha Rais Samia ana uungwaji mkono mkubwa, vyama vya upinzani vinaonekana kuongeza ushindani, hasa katika nafasi za Ubunge na Udiwani.

 
Tanzania ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kuwa tafiti zinaonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), anaungwa mkono kwa asilimia 91 katika kaya mbalimbali za Tanzania Bara. Wakati huo huo, vyama vya upinzani vinaungwa mkono kwa asilimia 9 pekee.

Akizungumza Machi 3, 2025, kuhusu utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Global Watch African Limited kutoka Malawi, kwa kushirikiana na CZI Tanzania Limited, ya Jijini Dar es salaa. Musiba ameeleza kuwa taasisi hizo zilipeleka watafiti wao katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Kulingana na matokeo yao, watu 10 walihojiwa katika kila mtaa

Watu 7 kati ya 10 walionyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Watu 2 walionyesha kumuunga mkono Tundu Lissu, Mmoja alikiri kutokuwa na msimamo kuhusu uchaguzi

Aidha, Musiba amebainisha kuwa, ingawa tafiti zinaonesha Rais Samia ana uungwaji mkono mkubwa, vyama vya upinzani vinaonekana kuongeza ushindani, hasa katika nafasi za Ubunge na Udiwani.

Chema chajiuza kibaya chajitembeza.
 
Hiyo habari mbona haipatikani huku mtandaoni, nimesearch hiyo taasisi huko Malawi siioni wala hiyo habari zaidi ya kuonyesha ni habari kutoka jamii forum

Mleta uzi tusaidie source ya alipotoa huyo
 
Muhuni anatafuta mkate wa kesho hapo ataongea sana kipindi hiki maana hao watafiti ukute wapo Kinondoni na wanatengenezwa watu wengine Lilongwe mambo ya Puerto Rico ni magumu sana.
 
Tanzania ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kuwa tafiti zinaonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), anaungwa mkono kwa asilimia 91 katika kaya mbalimbali za Tanzania Bara. Wakati huo huo, vyama vya upinzani vinaungwa mkono kwa asilimia 9 pekee.

Akizungumza Machi 3, 2025, kuhusu utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Global Watch African Limited kutoka Malawi, kwa kushirikiana na CZI Tanzania Limited, ya Jijini Dar es salaa. Musiba ameeleza kuwa taasisi hizo zilipeleka watafiti wao katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Kulingana na matokeo yao, watu 10 walihojiwa katika kila mtaa

Watu 7 kati ya 10 walionyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Watu 2 walionyesha kumuunga mkono Tundu Lissu, Mmoja alikiri kutokuwa na msimamo kuhusu uchaguzi

Aidha, Musiba amebainisha kuwa, ingawa tafiti zinaonesha Rais Samia ana uungwaji mkono mkubwa, vyama vya upinzani vinaonekana kuongeza ushindani, hasa katika nafasi za Ubunge na Udiwani.

No reforms no election!
 
Tanzania ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kuwa tafiti zinaonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), anaungwa mkono kwa asilimia 91 katika kaya mbalimbali za Tanzania Bara. Wakati huo huo, vyama vya upinzani vinaungwa mkono kwa asilimia 9 pekee.

Akizungumza Machi 3, 2025, kuhusu utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Global Watch African Limited kutoka Malawi, kwa kushirikiana na CZI Tanzania Limited, ya Jijini Dar es salaa. Musiba ameeleza kuwa taasisi hizo zilipeleka watafiti wao katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Kulingana na matokeo yao, watu 10 walihojiwa katika kila mtaa

Watu 7 kati ya 10 walionyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Watu 2 walionyesha kumuunga mkono Tundu Lissu, Mmoja alikiri kutokuwa na msimamo kuhusu uchaguzi

Aidha, Musiba amebainisha kuwa, ingawa tafiti zinaonesha Rais Samia ana uungwaji mkono mkubwa, vyama vya upinzani vinaonekana kuongeza ushindani, hasa katika nafasi za Ubunge na Udiwani.

Chema chajiuza kibaya chajitembeza.
 
Tanzania ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kuwa tafiti zinaonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), anaungwa mkono kwa asilimia 91 katika kaya mbalimbali za Tanzania Bara. Wakati huo huo, vyama vya upinzani vinaungwa mkono kwa asilimia 9 pekee.

Akizungumza Machi 3, 2025, kuhusu utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Global Watch African Limited kutoka Malawi, kwa kushirikiana na CZI Tanzania Limited, ya Jijini Dar es salaa. Musiba ameeleza kuwa taasisi hizo zilipeleka watafiti wao katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Kulingana na matokeo yao, watu 10 walihojiwa katika kila mtaa

Watu 7 kati ya 10 walionyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Watu 2 walionyesha kumuunga mkono Tundu Lissu, Mmoja alikiri kutokuwa na msimamo kuhusu uchaguzi

Aidha, Musiba amebainisha kuwa, ingawa tafiti zinaonesha Rais Samia ana uungwaji mkono mkubwa, vyama vya upinzani vinaonekana kuongeza ushindani, hasa katika nafasi za Ubunge na Udiwani.

Duh!
Hili chawa lipo?
 
Huyo jamaa nina uhakika kama ana familia basi watoto wake na mke wake wanaona aibu sana ila hawana namna.
 
Sasa unachanganya vipi asillmia 98 na 2 katika 10?

Innumeracy.
 
Hiyo habari mbona haipatikani huku mtandaoni, nimesearch hiyo taasisi huko Malawi siioni wala hiyo habari zaidi ya kuonyesha ni habari kutoka jamii forum

Mleta uzi tusaidie source ya alipotoa huyo
Unahangaika na huyo kichaa wa jiwe?
 
Akizungumza Machi 3, 2025, kuhusu utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Global Watch African Limited kutoka Malawi, kwa kushirikiana na CZI Tanzania Limited, ya Jijini Dar es salaa. Musiba ameeleza kuwa taasisi hizo zilipeleka watafiti wao katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Kulingana na matokeo yao, watu 10 walihojiwa katika kila mtaa
Anazungumzia Malawi hajui kama tuna mgogoro nao hivyo lazima watafute mbinu sahihi za kuuma na kupuliza
 
Tanzania ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kuwa tafiti zinaonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), anaungwa mkono kwa asilimia 91 katika kaya mbalimbali za Tanzania Bara. Wakati huo huo, vyama vya upinzani vinaungwa mkono kwa asilimia 9 pekee.

Akizungumza Machi 3, 2025, kuhusu utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Global Watch African Limited kutoka Malawi, kwa kushirikiana na CZI Tanzania Limited, ya Jijini Dar es salaa. Musiba ameeleza kuwa taasisi hizo zilipeleka watafiti wao katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Kulingana na matokeo yao, watu 10 walihojiwa katika kila mtaa

Watu 7 kati ya 10 walionyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Watu 2 walionyesha kumuunga mkono Tundu Lissu, Mmoja alikiri kutokuwa na msimamo kuhusu uchaguzi

Aidha, Musiba amebainisha kuwa, ingawa tafiti zinaonesha Rais Samia ana uungwaji mkono mkubwa, vyama vya upinzani vinaonekana kuongeza ushindani, hasa katika nafasi za Ubunge na Udiwani.

Huu ndio ukweli,ukweli unauma.Hata sisi wananchi wanajua hilo.
 
Tanzania ikiwa inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kuwa tafiti zinaonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), anaungwa mkono kwa asilimia 91 katika kaya mbalimbali za Tanzania Bara. Wakati huo huo, vyama vya upinzani vinaungwa mkono kwa asilimia 9 pekee.

Akizungumza Machi 3, 2025, kuhusu utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Global Watch African Limited kutoka Malawi, kwa kushirikiana na CZI Tanzania Limited, ya Jijini Dar es salaa. Musiba ameeleza kuwa taasisi hizo zilipeleka watafiti wao katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Kulingana na matokeo yao, watu 10 walihojiwa katika kila mtaa

Watu 7 kati ya 10 walionyesha kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Watu 2 walionyesha kumuunga mkono Tundu Lissu, Mmoja alikiri kutokuwa na msimamo kuhusu uchaguzi

Aidha, Musiba amebainisha kuwa, ingawa tafiti zinaonesha Rais Samia ana uungwaji mkono mkubwa, vyama vya upinzani vinaonekana kuongeza ushindani, hasa katika nafasi za Ubunge na Udiwani.

Asante kwa utafiti . Utafiti unapingwa kwa utafiti.
 
Back
Top Bottom