D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Mkuu the bold, pamoja na utamu wa story zako naomba nitoe shukrani za dhati kwa kuniongezea kitu. Jana nilikuwa mitaa ya home huku nikajaribu kuwapa raia hii story kwa uchache conclusion yao ilikuwa moja tu Cooper alikuwa jini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila la msingi zaidi nimependa sana hekima zako na jinsi unavyoweza kuwajibu wale wanaotaka kujifanya wanajua zaid. Katika hili niseme tu kuna hekima kubwa sana umenifunza hasa ya kukubali kushindwa pasi na ulazima wa kushindana. Mungu akubariki na akupe uwezo zaidi.
 
Mkuu the bold, pamoja na utamu wa story zako naomba nitoe shukrani za dhati kwa kuniongezea kitu. Jana nilikuwa mitaa ya home huku nikajaribu kuwapa raia hii story kwa uchache conclusion yao ilikuwa moja tu Cooper alikuwa jini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila la msingi zaidi nimependa sana hekima zako na jinsi unavyoweza kuwajibu wale wanaotaka kujifanya wanajua zaid. Katika hili niseme tu kuna hekima kubwa sana umenifunza hasa ya kukubali kushindwa pasi na ulazima wa kushindana. Mungu akubariki na akupe uwezo zaidi.
Amen!! Nashukuru sana mkuu..
Hao raia wanaosema Cooper alikuwa jini wametisha sana aisee hahahahaha
 
Kulikuwa na haja gani ya kuquote thread nzima?
Hii ni moja ya kero kubwa jamiiforum
Chief mtu akikosea na hajui uki quote inaleta madhara gani na ashaomba msamaha unaaja gani ya kuendelea kulaumu kama mtoto wakike shout up man
 
Mkuu nenda kwenye profile yangu alafu angalia orodha ya thread nilizoandika, pekua pekua thread nilizoandika mwaka 2014 utaziona tu hizo ninazozingumzia!! Kuweka link hapa naona kama naweza kurudisha tena attention ya watu kwenye zile mambo hahahhah
Poa mkuu ngoja [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] nikapate mauhondo
 
Kwameh unajua unachefua na unataka watu wapewe BAN humu jamvini

But why tupewe ban?

Why the censorship? Tumemtukana nani? Au kwa kuwa na opinion? Hivi kwa nini tunawekeana udikteta wenyewe kwa wenyewe kwa kuwa na mawazo?

Tujifunze, Watanzania, kupokea na kuvumilia mawazo ya mtu yeyote. Wanasema "the highest result of education is tolerance," kama huwezi kustahimili ninachokisema niruke, usiniombee ban, haya mambo ya free expression hayataki hasira!

kwanini na wewe usilete story yako ya filamu ambayo si fiction na tuichambue
Hapana, hatuna standard hiyo, hatuna utaratibu wa kumwambia mtu kalete stori yako, ya kwangu inyamazie, nooooh way! Hatufukuzi maoni hapa. Kwenye Instagram na Snapchat yako unaweza ukam block mtu asikufate fate. Hatutaki jamvi liishie kuwa la feeble minds.

ni vitabu vingapi vimetungwa kuhusu hili tukio wakati wewe unasema unalijua kuwa ni la kweli.
D. B. Cooper story is not a fiction, vitabu vyote unavyovisema ni true story, zina facts of the event pamoja na analysis za mwandishi, na inajulikana fika kipi cha ukweli kipi mawazo ya kichwani ya mwandishi. Hawajaongeza vichorombwezo vyao kunogesha stori. Huwezi kusema Boing 727 hairuki zaidi ya 10,000ft ndio maana Cooper aliichagua, si kweli, huna leseni kama ya mtunga fiction.

The bold akiongezea ww hayakuhusu
Simulizi za The Soft, pardon the typo, The Bold, ambazo hazinihusu ni zile ana post kwenye Facebook pages zake, ukibandika kitu hapa kimepinda watu watakukosoa, ukibisha watakuchana! Be bold, komaa kimawazo, mbona mimi natukanwa kwa kuwa na opinion tofauti lakini silii lii kwa wenye jamvi wam ban mtu?

unaposema hii story haikosolewi ndipo napokudharau na kuchefua nakuomba tu unyamaze kwani juzi tu lilikuwepo Kongamano la kuchambua huu ukweli ingawa FBI walishalifunga
That is exactly my point, hakuna stori duniani ambayo haina critics, both fictional and non-fictional.

Fictionals zinakosolewa utamu wa hadithi, aina ya uandishi, ukaribu wake na uhalisia au uwezekano wa vitu hivyo kutokea maishani n.k. Non-fictional inachambuliwa kuona kama umeandika ukweli wa tukio na pia analysis ya facts zilizotolewa. Huna creative license ya kuongeza mambo yako kama vile ni facts, ukiandika non-fiction ukaongeza ya kwako lazima utaliwa nyama!

labda nikuombe acha malumbano ya kitoto mwache The Bold aendelee kuburudisha
Sijamzuia The so-called Bold kuendelea kutuburudisha, yeye mwenyewe kabadili mada, ameniandikia mwimbo wa mjini anasema "hatutoi kiksi, usi fosi tufanane..." Mwenye thread mwenyewe kabadili topic, kaandika taarab... Hahahaaaaaa

Well, here is the take home. Huwezi kusema Cooper alichagua Boeing 727 kwa sababu ndio ndege pekee duniani ambayo unaweza kuiendesha kutokea upande wa abiria! I mean, nimekuwepo JF toka 2007, huwezi kusema kitu kama hicho hapa ukabaki salama, we hapa mgeni ?
 
Kwameh am done arguing with you bro! Toka juzi uunaleta ulalamishi wa mambo hayo hayo, nakujibu kesho yake unaibuka tena na hoja zile zile.. Kama umeisoma story nashukuru, kama umeinjoy nafurahi kama hujaenjoy nakushauri anzisha Uzi wako isimulie vile unaona itapendeza zaidi! Nitakuja kuisoma, nitalike na kucomment.. Nimefunga huo mjadala
Achana na huyo jamaa. Kwanza hana lugha ya kistaarabu. Kutumia neno' huku tunapokaa abiria' ni lugha ya kujiskia kutaka kutuonesha kuwa anapanda sana hizo ndege.

Pia kulalamikia kiwango cha m10000 kwani haiwezekani kuwa huenda wakati huo hicho ndio kilikuwa kiwango cha juu cha urukaji wa ndege hizo na kwasasa zimeboreshwa?

Pia tayari ulishamjibu kuwa umeelezea kwa uelewa wako,sasa kama ye anaelewa vingine si aanzishe uzi wake!!?
 
Pia kulalamikia kiwango cha m10000 kwani haiwezekani kuwa huenda wakati huo hicho ndio kilikuwa kiwango cha juu cha urukaji wa ndege hizo na kwasasa zimeboreshwa?
Haiwezekani ndege kuboreshwa.

Boeing 727 ikiboreshwa ikawa inaruka juu zaidi itaitwa 737! Lakini juu ya yote nimeweka chanzo kinachoonyesha altitude (urefu wa kwenda angani) unaofikiwa na 727 ya mwaka 1971!

Halafu sio meter 10,000 kama ulivyoandika. Mleta stori kadai ndege haizidi futi 10,000 kupaa juu. Bora angesema hizo meter 10,000 zako. Ambazo ni futi 32,000. Boeing 727 ya mwaka 1970 inafika mpaka 40,000ft. Kwa hiyo angesema inaishia kuruka mwisho 10,000m (yani futi 32,000) ingekuwa sio disrespect kubwa sana kwa 727. Haya mambo ni very very technical, ukisema Cooper ni criminal genius kwa vigezo vya kiufundi utapimwa kiufundi.

Cooper aliletewa maparashuti manne, mawili mabovu. Ye kachukua moja zima moja bovu, yani hana reserve parachute (kitu ambacho mleta hadithi alikuwa hakijui). Criminal mastermind aliye makini hawezi ku sky dive bila reserve parachute, especially kwenye wind blitz ya 200mph, usiku kwenye rain storm, baridi la kuchana mishipa ya damu. Kuna kitu kinaitwa windchill, upepo unapokupiga kwa kasi baridi unayoisikia inakuingia kwa nguvu zaidi, windchill ilikuwa negative 69 degrees siku ile. Unarukaje kwenye negative 69 degrees umevaa suti na viatu loafers za ngozi za kuendea ofisini, utakuwa hukujiandaa!

Tukiyasema hayo tunaambiwa tunaharibu stori tamu ya Cooper. Well, ukitaka ku get technical kwenye stori unatualika mafundi mchundo wengi wa kukuchambua na kuisanua stori. Andika fiction.
 
Hayo uliyoyataja yanathibitisha kuwa huyo jamaa si wakawaida.
Kwani alifahamu wengi watamtafuta kwakukariri. Ndipo akachagua parachute moja nzima moja yakujifunzia. Ili kuhadaa kuwa hakufika chini akiwa hai.
Jiulize why alikataa parachute za kijeshi? Kwanini alitaka ziwe nne? Kwanini hadi leo tafauti ya kiasi cha dola zilizopatikana hakuna kingine kilichoonekana?
Na je kilichokuwa kwenye sanduku ni Bomu pekee au pamoja na nguo za kumsaidia kwenye baridi kali?
Yapo maswali mengi yakujiuliza zaidi ya majibu. Jiulize kwanini ziwe ft.10000 na si zaidi?
Je hao FBI wanaotumia akili sana kwanini washindwe kumpata mtu alietumia akili ya kawaida tuu kuteka ndege,na kuruka toka angani urefu wa ft 10000 bila vifaa maalum?
Mwisho utakubaliana nasi kuwa huyu bwana alikuwa mbele ya FBI kwa kufikiri zaidi ya mara 90
 
duh we jamaa! Hivi hujiulizi kabisa unapo-quote thread nzima na kujibu kwa neno moja ina maana hujui ni kitu gani kinawapata wasomaji wengine?
Kwani mnatumia vifaa gani kuingia jf, mbona mnalalamika hivyo!? Kwangu hata u quote thread nzima comment inakua fupi labda niamue mwenyewe kui expand!
 
Kwani mnatumia vifaa gani kuingia jf, mbona mnalalamika hivyo!? Kwangu hata u quote thread nzima comment inakua fupi labda niamue mwenyewe kui expand!
Ukitumia simu kupitia intanet ya bure ya airtel au tigo, JF inakuwa tofauti kidogo.
Mtu akiquote thread ndefu, itakulazimu uipitie yote tena.
Hata ukiwa "home" ID yako inaonekana kabisa ambapo ukitumia njia ya kawaida, badala ya ID, itaonekana alama ya profile.
Tunapolalamika kuwa wanao-quote thread nzima wanatuumiza, ujue tunatumia hiyo version.
 
Achana na huyo jamaa. Kwanza hana lugha ya kistaarabu. Kutumia neno' huku tunapokaa abiria' ni lugha ya kujiskia kutaka kutuonesha kuwa anapanda sana hizo ndege.

Pia kulalamikia kiwango cha m10000 kwani haiwezekani kuwa huenda wakati huo hicho ndio kilikuwa kiwango cha juu cha urukaji wa ndege hizo na kwasasa zimeboreshwa?

Pia tayari ulishamjibu kuwa umeelezea kwa uelewa wako,sasa kama ye anaelewa vingine si aanzishe uzi wake!!?
Nimekusoma mkuu! Ni kweli kabisa..

Tuendelee kufurahia simulizi, tumuache aendelee kupayuka
 
Kaka The Bold ahsante kwa uchambuzi mzuri wa tukio, hakika umebarikiwa kitumie vizuri kipaji chako. Utakapo kuja na story nyingine, Mkuu tafadhali naomba uniite.

Napenda watu kama wewe wanao tambua mantiki za lugha.

Expected Value
Nakushukuru sana mkuu!
Ntajitahidi kukuita nikiweka uzi mwingine..
 
nakuelewa, which means ilikuwa ni mchoro wa watu wote wale waliobaki kwenye ndege (ma pilot, engineer, flight attendant) na Cooper aliyeshuka airport Washington Takoma.

Tatizo na hiyo theory at least to me ni kwamba ina watu wengi mno. Dola laki 2 alizopewa gawanya kwa watu watano ni $40,000. Ambayo kwa hela ya leo ni kama $ 230,000 kila mmoja.

Hicho kiasi hakijazidi sana mshahara wa pilot. Sasa kwa nini ma pilot wahatarishe career yao (na maisha yao pia) kwa kufanya ujambazi mgumu namna hiyo?
umetumia kigezo gani kufanya valuation ya pesa ya mwaka 1971 na miaka 45 mbele??
 
Back
Top Bottom