D.R.C Taifa lililolaniwa tangu wapate Uhuru

D.R.C Taifa lililolaniwa tangu wapate Uhuru

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kongo imelaaniwa, tangu wapate Uhuru hawajawahi kupata utulivu. Dalili kuu ya mtu au Taifa lililolaniwa ni kukosa utulivu.


DRC nchi iliyojaa madini. Kuna sehemu ukiingia msituni kabisa huko ukichota mchanga gunia 1 unaweza kupata pure gold debe moja lakini kwasababu ya laana iliyotokana na ardhi kushiba damu za watu hayo madini hayajawahi kuwa na mchango wa maana kwa wananchi.

DR Congo kuna ufukara uliokithiri. Kongo kuna nuka damu.

Viongozi nao shetani kawaziba macho wanadhani kutumia upanga kutalituliza Taifa. Juzi wameuwawa kikatili vijana wadogo (panya road) 102 na wengine wanatarajiwa kunyongwa kikatili pia soon.

Ni unyama, unyama na ushetani.

Wanadhani wanaliponya Taifa kumbe wanalinywesha damu zaidi lizidi kulaaniwa.
 
kilichopo congo ni wanajeshi wanaaminiwa na serikali wanakuja kusaliti jeshi manake wanakua waasi wananza kupambana na serikali .

kwa Tanzania tumefanikiwa kwa sababu jeshiniJWTZ tumejaza wakuria , wazanaki, wajita, na wajaluo hawa jamaa Wana respect na uzalendo flani hivi nadhani wamechukua blood champion nyerere.

kwa Tanzania kuna wazee flani ivi wa kanda X ukiwaweka jeshini 15 yrs wanafanya mapinduzi 😂😂😂
Unamaanisha Chaga zone wakichukua Nchi watafanya mapinduzi within 15 yrs?
 
Tanzania tunatakiwa tumfukuze barozi wa DRC ili kuonesha hatujapendezwa na kunyongwa Kwa vijana.kuua siyo njia sahihi ya kumaliza tatizo,Tatizo la kuwepo Kwa hayo magenge yalitokana na serikali yenyewe kutokutengeneza mazingira mazuri Kwa watu.
Sasa mbona milio mingi inatokea Rwanda badala ya Congo baada ya hao vijana kunyongwa?

Tena siyo kunyongwa! Nasikia wamemiminiwa njugu!
 
Tanzania tunatakiwa tumfukuze barozi wa DRC ili kuonesha hatujapendezwa na kunyongwa Kwa vijana.kuua siyo njia sahihi ya kumaliza tatizo,Tatizo la kuwepo Kwa hayo magenge yalitokana na serikali yenyewe kutokutengeneza mazingira mazuri Kwa watu.
Tokeni zenu, yaan muwatetee majambazi? Mbona hata Tz ukileta upuuzi wanakupoteza chap tu stories zitabaki mitaan kuwa hujulikani ulipo.

Kila nchi ina namna yake ya kupambana na hawa vibaka wanaoharibu uhai na mali za wengine, hizo haki za kipuuzi mnazotetea ndio chanzo cha kulea ushenzi wa kila aina.

Huwa nashangaa wajinga mnaotetea wauaji kupewa malipo yao ya kifo, sidhani mtu mwenye akili timamu ambaye anaujua uchungu wa kupotezewa ndugu, rafiki, mzazi na hao vibaka, ataweza kuwatetea eti wasiuliwe, malipo ya kifo ni kifo hakuna njia mbadala wala mkato, anayeua kwa makusudi lazima afe hiyo ndio haki.

Acheni kutetea upuuzi
 
Back
Top Bottom