D.R.C Taifa lililolaniwa tangu wapate Uhuru

D.R.C Taifa lililolaniwa tangu wapate Uhuru

N
Kongo imelaaniwa, tangu wapate Uhuru hawajawahi kupata utulivu. Dalili kuu ya mtu au Taifa lililolaniwa ni kukosa utulivu.
View attachment 3202870

DRC nchi iliyojaa madini. Kuna sehemu ukiingia msituni kabisa huko ukichota mchanga gunia 1 unaweza kupata pure gold debe moja lakini kwasababu ya laana iliyotokana na ardhi kushiba damu za watu hayo madini hayajawahi kuwa na mchango wa maana kwa wananchi.

DR Congo kuna ufukara uliokithiri. Kongo kuna nuka damu.

Viongozi nao shetani kawaziba macho wanadhani kutumia upanga kutalituliza Taifa. Juzi wameuwawa kikatili vijana wadogo (panya road) 102 na wengine wanatarajiwa kunyongwa kikatili pia soon.

Ni unyama, unyama na ushetani.

Wanadhani wanaliponya Taifa kumbe wanalinywesha damu zaidi lizidi kulaaniwa.
Nyonga hao kuluna mpaka akili ikawe sawa
 
Kongo imelaaniwa, tangu wapate Uhuru hawajawahi kupata utulivu. Dalili kuu ya mtu au Taifa lililolaniwa ni kukosa utulivu.
View attachment 3202870

DRC nchi iliyojaa madini. Kuna sehemu ukiingia msituni kabisa huko ukichota mchanga gunia 1 unaweza kupata pure gold debe moja lakini kwasababu ya laana iliyotokana na ardhi kushiba damu za watu hayo madini hayajawahi kuwa na mchango wa maana kwa wananchi.

DR Congo kuna ufukara uliokithiri. Kongo kuna nuka damu.

Viongozi nao shetani kawaziba macho wanadhani kutumia upanga kutalituliza Taifa. Juzi wameuwawa kikatili vijana wadogo (panya road) 102 na wengine wanatarajiwa kunyongwa kikatili pia soon.

Ni unyama, unyama na ushetani.

Wanadhani wanaliponya Taifa kumbe wanalinywesha damu zaidi lizidi kulaaniwa.
Ni nchi gani isiyolaaniwa Afrika?
 
Tanzania tunatakiwa tumfukuze barozi wa DRC ili kuonesha hatujapendezwa na kunyongwa Kwa vijana.kuua siyo njia sahihi ya kumaliza tatizo,Tatizo la kuwepo Kwa hayo magenge yalitokana na serikali yenyewe kutokutengeneza mazingira mazuri Kwa watu.
Mkuu Mapinduzi ukifanya hakikisha yanafanikiwa . Yasipofanikiwa ukinaswa hamnaga adhabu yenye nafuu. Angalau nafuu zaidi ni jela ya mateso ya muda mrefu kizuizini. Adhabu kubwa zaidi ya lazima ni kifo. Hii ipo dunia nzima. Bila kujali umefanya hivyo kwasababu Gani.. adhabu ni kifo.
 
Back
Top Bottom