Da kwamimi binafsi sijafurahishwa na mchezo.

Da kwamimi binafsi sijafurahishwa na mchezo.

Mamelodi walikuja kwalengo la kupata sare na wamefanikiwa je sisi kule kwao tutaweza??? Isije kua yaleyale ya kubanabana ila mwisho wa siku tukatolewa, ikawa tulichelewesha muda tu
Mnapenda kulalamika ndio maana unaambiwa hujui mpira?Timu haina wachezaji wake watatu Key Player ulitaka wachezaje?

Halafu timu zinazo miliki mpira formula ya kuwafunga ni kuwaacha wao wamiliki mpira then ww ukiwa accurate kwenye nafasi upatazo. Hivi ushaiona Barca ya Messi,Inesta,Busquet,Xavi nk Mourihno alikuwa na vikosi bora Inter na Chelsea, aliwafunga japo possession walidominate Barca. Njoo Arsenal, ya Wenger na Man ya Ferguson,Arsenal anapigwa na Man huku akiwa na possession kubwa.

Mamelod wawe ugenini, wawe nyumbani haijalishi wanacheza na timu upande wa possession watadominate wao na timu zote wanazo cheza nazo huwaacha wachezee mpira,huku wakiwa Vizia kwenye mashambulizi ya kushtukiza. Wewe unazani mwaka jana Wydad alimpiga Mamelod kwake, unazani walicheza mpira mzuri au Mazembe wamempiga kwenye makundi, unazani walitawa mpira Mazembe au ww hutizamagi mechi za Mamelod unasimuliwa na kucoclude.

Team haina key player watatu, wanacheza na timu bora Africa, wamepata droo unalalamika. Hivi unaujua mpira? Haipo timu Africa inayo ifikia Mamelod kwa kuweka mpira chini, ndio maana wanamwacha achezee mpira, ila wao wanadeal na nafasi zao, sema tu Yanga hakuwa striker mzuri kwani ile mechi zile chance alizo zipata Mzize na Musonda yote magoli na mpango wa Yanga ulikuwa sahihi kwa asilimia mia.
 
Mnapenda kulalamika ndio maana unaambiwa hujui mpira?Timu haina wachezaji wake watatu Key Player ulitaka wachezaje?

Halafu timu zinazo miliki mpira formula ya kuwafunga ni kuwaacha wao wamiliki mpira then ww ukiwa accurate kwenye nafasi upatazo. Hivi ushaiona Barca ya Messi,Inesta,Busquet,Xavi nk Mourihno alikuwa na vikosi bora Inter na Chelsea, aliwafunga japo possession walidominate Barca. Njoo Arsenal, ya Wenger na Man ya Ferguson,Arsenal anapigwa na Man huku akiwa na possession kubwa.

Mamelod wawe ugenini, wawe nyumbani haijalishi wanacheza na timu upande wa possession watadominate wao na timu zote wanazo cheza nazo huwaacha wachezee mpira,huku wakiwa Vizia kwenye mashambulizi ya kushtukiza. Wewe unazani mwaka jana Wydad alimpiga Mamelod kwake, unazani walicheza mpira mzuri au Mazembe wamempiga kwenye makundi, unazani walitawa mpira Mazembe au ww hutizamagi mechi za Mamelod unasimuliwa na kucoclude.

Team haina key player watatu, wanacheza na timu bora Africa, wamepata droo unalalamika. Hivi unaujua mpira? Haipo timu Africa inayo ifikia Mamelod kwa kuweka mpira chini, ndio maana wanamwacha achezee mpira, ila wao wanadeal na nafasi zao, sema tu Yanga hakuwa striker mzuri kwani ile mechi zile chance alizo zipata Mzize na Musonda yote magoli na mpango wa Yanga ulikuwa sahihi kwa asilimia mia.
Point yangu ni kwenye kutumia zile chances zinazopatikana, naelewa vizuri sana unachosema ila kuna ukosefu wa umakini pale mbele. Zaidi ya clear chances 3 bila goli? Ukicheza na team kama mamelodi lazima utumie nafasi zinazopatikana kwasababu huwezi kupishana nao mwanzo mwisho.

Unataka upate nafasi kumi ndo liwe goli Moja? Mfano Al ahly hapa kwa mkapa walipata nafasi Moja tu na ikawa goli lakini
sisi tulipata ngapi? Umakini unatakiwa wa hali ya juu sana. hata kesho kwenye second leg wakifanya mchezo kwisha kazi,

Hata kwenye penalty hatutawaweza wale.
 
Mnapenda kulalamika ndio maana unaambiwa hujui mpira?Timu haina wachezaji wake watatu Key Player ulitaka wachezaje?

Halafu timu zinazo miliki mpira formula ya kuwafunga ni kuwaacha wao wamiliki mpira then ww ukiwa accurate kwenye nafasi upatazo. Hivi ushaiona Barca ya Messi,Inesta,Busquet,Xavi nk Mourihno alikuwa na vikosi bora Inter na Chelsea, aliwafunga japo possession walidominate Barca. Njoo Arsenal, ya Wenger na Man ya Ferguson,Arsenal anapigwa na Man huku akiwa na possession kubwa.

Mamelod wawe ugenini, wawe nyumbani haijalishi wanacheza na timu upande wa possession watadominate wao na timu zote wanazo cheza nazo huwaacha wachezee mpira,huku wakiwa Vizia kwenye mashambulizi ya kushtukiza. Wewe unazani mwaka jana Wydad alimpiga Mamelod kwake, unazani walicheza mpira mzuri au Mazembe wamempiga kwenye makundi, unazani walitawa mpira Mazembe au ww hutizamagi mechi za Mamelod unasimuliwa na kucoclude.

Team haina key player watatu, wanacheza na timu bora Africa, wamepata droo unalalamika. Hivi unaujua mpira? Haipo timu Africa inayo ifikia Mamelod kwa kuweka mpira chini, ndio maana wanamwacha achezee mpira, ila wao wanadeal na nafasi zao, sema tu Yanga hakuwa striker mzuri kwani ile mechi zile chance alizo zipata Mzize na Musonda yote magoli na mpango wa Yanga ulikuwa sahihi kwa asilimia mia.
Usitumie nguvu sana mashabiki wa simba sababu wao walifungwa ijumaa walitaka pia na yanga wafungwe jumamosi sasa mechi kuishi draw iliwaumize sana ndo maana wamekuja na malalamiko kwamba wamepaki bus

Kuanzia robo inatakiwa ucheze kwa mahesabu makali na sio kufuruhasha jukwaa mfano simba vs al ahaly walishindwa kuwaheshimu wapinzani wao na wakaadhibiwa
 
Usitumie nguvu sana mashabiki wa simba sababu wao walifungwa ijumaa walitaka pia na yanga wafungwe jumamosi sasa mechi kuishi draw iliwaumize sana ndo maana wamekuja na malalamiko kwamba wamepaki bus

Kuanzia robo inatakiwa ucheze kwa mahesabu makali na sio kufuruhasha jukwaa mfano simba vs al ahaly walishindwa kuwaheshimu wapinzani wao na wakaadhibiwa
Mashabiki wa Simba ni nani we koma!
 
Point yangu ni kwenye kutumia zile chances zinazopatikana, naelewa vizuri sana unachosema ila kuna ukosefu wa umakini pale mbele. Zaidi ya clear chances 3 bila goli? Ukicheza na team kama mamelodi lazima utumie nafasi zinazopatikana kwasababu huwezi kupishana nao mwanzo mwisho.

Unataka upate nafasi kumi ndo liwe goli Moja? Mfano Al ahly hapa kwa mkapa walipata nafasi Moja tu na ikawa goli lakini
sisi tulipata ngapi? Umakini unatakiwa wa hali ya juu sana. hata kesho kwenye second leg wakifanya mchezo kwisha kazi,

Hata kwenye penalty hatutawaweza wale.
Kwa hiyo umebadilika point tako sasa hivi ni chance ila sio mpira mzuri. Kwa approach ya Yanga juzi ilikuwa sahihi kwa asilimia zaidi ya tisini na tano kwa aina ya wachezaji alio ingia nao.

Penalty hazina mwenyewe, najua utasema kipa wao mzuri, ila kumbuka Nigeria waliwatoa South Africa na kipa wao yule yule.
 
Back
Top Bottom