Daaah..! Demu kanidhalilisha mbele ya kadamnasi

Daaah..! Demu kanidhalilisha mbele ya kadamnasi

Ngareroo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2019
Posts
2,123
Reaction score
2,449
Oraa ni vimnyo machizi boti, madingilii na mamanzi wote humu ndichi..I hope mko yente...

Basi bhana acha nidane moko moko kwenye mada yenyewe..Wiki iliyopita tulikua kwenye mahafali ya chuo coz kuna wajuba walikua wana'graduate levels mbali mbali za kielimu..

Baada ya maraia kugonga diko, wengine wakakata maji hadi wakazima, pia kuna waliozomea sink, Sasa ikafika ile tyme ya sisi machalii kubambia na kunyonga kingareroo pale fyade ya dance Floor,si nikamdekerea manzi mmoko alikua ka'chill peke ake tu anacheza taratibu hana ngendembwee na raia oote pale..

Sasa Chaliloo nikaona hii ni fursa malamamake nimrukie tuserebuke kibingwa..iiiii.!ile namtimbia kumshika kiuno tu daah.!!Sijui k*ma gani akakanyaga waya sijui wawapi kwenye spika Dundo likazima ziiiiii.!!watu wakawa kimya wanashangaa wale ma'mamiloo wakishua wakasikika"Ooh ma God What iz going on?"...

Bas kukiwa na ukimya ule uwezi amini yule mamiloo akaanza kunisololeshea matusi na fcuk za kushantoo tena kwa sauti ya juu"Wee Fala nini?unanishika kiuno mimi unanijua?!Si nakuuliza wewe uliekosa haya na mshati wako huo kama shuka..Kamshike demu ako sio mimi"

Wakati huo raia zote zinaskiliza pale duas ya ukumbini..Ghafla akatimba chaliangu anaitwa Seuri akiwa na wajuba kaa wa5 hivi wakamfata yule manzi wamtoe pattern kwanza akae kwa kutulia ila nikawazuia wamvungie tu coz yawezekana labda kuna mbax zimemtokea ndo akawa katika ile hali

Daah wana waliwaka kinyama"Chugaa unatuangusha ariff,Manzi atakuaibishaje ki'whack ivo alaf unasema tumteme asee?!Unakuja kuwaje apa town dingii?tuachie tumtoe nywila saiv *****,,Machalii wa Ara hatupogo ivo man"

Wana wali'maind kisoro,,alaf manzi bado anawaka et"Njooni mnipige ndo mtajua nimetoka Dar..Nyie si mnajifanya mnavuta bangi za Arusha njooni mnipige"..watu wakaja pale tukachimba hostel...

Ila leo huyu manzi sijui kawaza nini akaja kuniomba msamaha kaniletea na keki...nimemsamehe kabisa yaani.

@NgarenaroBoy.
 
Back
Top Bottom