Daah aisee ukiwa mbali na demu wako usijipe matumaini kabisa kua hupigiwi

Daah aisee ukiwa mbali na demu wako usijipe matumaini kabisa kua hupigiwi

Duh bwawa la mtera vs kibamia, ukiuza cheni feki lazima upokee hela bandia.🤣🤣


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Aisee , hapa home naishi na dada flani hivi ni nurse , bwana wake yupo mwanza kutokana na kumdadis sku moja ilaa daah nampa pole sna tena sna huyo bwana wake maana kuna ki janafunzi hapa ki benten daily anamgonga tena kwa mbwembwe zote

Pole sna kwa mara nyengine ww ambaye ni mmiliki wa huyu demu maana daah anagawa balaa hata mm niliwahi kula ila nimekutana ana bwawa la mtera nikaona nisipoteze heshima kwa mke wangu nikajiweka pemben

Wanaume wote ambao maden zenu wapo mbali na nyiny nawapa pole sana
Unafikiri sikufahamu wewe endelea tugawane virusi
 
Umeongea pointi mkuu, daka pepsi popote ulipo. Kuishi mbali na mpenzi wako utapigiwa pasina shaka.
 
Post zingine zina lenga kutaka kuuwa watu au kutupa presha , sasa me. Baby anaenda UDSM kusoma vipi nimzuie maana me nitakua UDOM nisitishe relationship au vipi?
Tena huko akifika tu atagongwa kishenzi na wanafunzi wenzake, tena watapanga chumba kimoja basi full migegedo mpk watapeana mimba
 
Back
Top Bottom