Daah aisee ukiwa mbali na demu wako usijipe matumaini kabisa kua hupigiwi

Duh bwawa la mtera vs kibamia, ukiuza cheni feki lazima upokee hela bandia.🀣🀣


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Unafikiri sikufahamu wewe endelea tugawane virusi
 
Wanawake wote ambao wako mbali na mabwana zao nawapa pole pia
 
Duh bwawa la mtera vs kibamia, ukiuza cheni feki lazima upokee hela bandia.🀣🀣


Ndukiiiii [emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
Hapo ulipanga uandike kwa vina au imetokea tu?
 
Umeongea pointi mkuu, daka pepsi popote ulipo. Kuishi mbali na mpenzi wako utapigiwa pasina shaka.
 
Post zingine zina lenga kutaka kuuwa watu au kutupa presha , sasa me. Baby anaenda UDSM kusoma vipi nimzuie maana me nitakua UDOM nisitishe relationship au vipi?
Tena huko akifika tu atagongwa kishenzi na wanafunzi wenzake, tena watapanga chumba kimoja basi full migegedo mpk watapeana mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…