Bro huu ni usiku sana, usinikumbushe wadaiwa wanguKuna Jamaa namdai lakini kila siku anapost picha akiwa anacheka hizi si dharau za wazi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnatukatisha tamaa wengine hapa ambao tunataka kukopa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Liwa uweze kukopeshwa tena mkuuMtuvumulie mnao tudai hali ngumu nina siku ya 4 nazima simu na njia nimebadili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm Kuna jamaaa namdai laki 5 alafu kila leo anakunywa bia tu ukimfuata anakwambia bia za wadau hz kuwa mpole ila nimepanga niende kwa boss wake daaadek jumatatuKuna Jamaa namdai lakini kila siku anapost picha akiwa anacheka hizi si dharau za wazi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah saiz wagum sana kurudishaMm Kuna jamaaa namdai laki 5 alafu kila leo anakunywa bia tu ukimfuata anakwambia bia za wadau hz kuwa mpole ila nimepanga niende kwa boss wake daaadek jumatatu
kilicho akilini kitumie
Kuna Jamaa namdai lakini kila siku anapost picha akiwa anacheka hizi si dharau za wazi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vip kakulipa??Mm Kuna jamaaa namdai laki 5 alafu kila leo anakunywa bia tu ukimfuata anakwambia bia za wadau hz kuwa mpole ila nimepanga niende kwa boss wake daaadek jumatatu
kilicho akilini kitumie
Mnyweshe sanitaiza.Kuna jamaa nimemkopesha kama laki 8 hivi, kinachonikera amekuwa akihudhuria kwenye mikusanyiko ya watu, halafu ushauri wa kunawa mikono huwa hata hauzingatii halafu ndio jijini Dar
Huyu mtu nimfanyeje wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann asilipe Sasa Kesha lipa Sasa