Daah jamani wadaiwa

Daah jamani wadaiwa

Kuna jamaa alikopa, kabla hajalipa akakopa tena.

Tarehe za kulipa zimefika haonekani, hata udhuru wa kusema ana tatizo gani hajatoa!
 
Kuna jamaa nimemkopesha kama laki 8 hivi, kinachonikera amekuwa akihudhuria kwenye mikusanyiko ya watu, halafu ushauri wa kunawa mikono huwa hata hauzingatii halafu ndio jijini Dar

Huyu mtu nimfanyeje wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom