Daah kweli dunia inabadirika...

Perfectz

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2017
Posts
9,045
Reaction score
28,216
Yan leo hii MCHANGA Umekuwa dili namna hiii[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Yan MCHANGA umekuwa maarufu kuliko hata baadhi ya wabunge na madiwani[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Afu mbona mchanga mwingi sana pale COCO mbona hawaugombei[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Tatizo si mchanga....Bali "mchanganyiko'
 
Mchanga wa coco ni deal kwa waganga tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mm mchanga siupendagi.tulikuwa na apointment na dem wang kichakani,wakati wa kuandaana mchanga ule ukaingia kwenye tumbua la shemeji yenu.tangu siku hiyo siutaki kbs bora awaachie wapeleke tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…