[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseee wewe jamaa chenga sana.Usijisifie mkuu hapo competition inevitable..! Mimi huku napambana nimnase mlokole mwanasheria nimeokoka ila sina ujanja nimewachia Mungu aingilie maana mpole mpaka namwogopa aisei..!
Ushauri chunga asipate negatives zako, competitor wako atapata advantage hapo, ficha makandokando yako..!
Vichwa vikubwa huwa hatupayuki..! Unaficha makandokando ukisha chukua mzigo unazinduka akijidai kupandisha mashetani too late to catch the train..[emoji41] [emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseee wewe jamaa chenga sana.
kosa kubwa hujamuukiza bikra alitoa nani... make nae akimuona atamrukia kama wewHabari waungwana poleni sana na kazi..
Leo nilimechoropoka ofisin nimekuja hospitali flani ya macho mjini hapa NHC HOUSE kurepair lens za miwani maana macho yangu yanamwaga machozi mfululizo afu yananiwasha.
Sasa wakati nasubiri kuingia kwa doctor nikawa nakagua frem za miwani najaribu hii na ile na nini.
Kiukweli sikuwahi kuingia hospitali hiyo ila ushauri wa washikaji kua jamaa wako vizuri pia wanafremu kali za miwani nikaona nijisogeze nione huduma zao kingine si mbali sana na ofisini na nini sio mbaya.
Zamu yangu ilipofika nikaingia nipate tija ya tatizo langu, Namkuta Dr kakaa yupo, "karibu" huku akiwa busy kukagua vipimo vyangu. Nikakaa,sasa wakati namuangalia vizuri tukagongana ile tunaangaliana, heee!!! Nikawa nimepigwa butwaa naangalia vizuri Dr mwenyewe ni class mate wangu wa primary enzi ziile za mchumba, mchumba wote tukabaki tunaangaliana... Yuko do I know you?
Nikawa Like yah Im Joseph n ur schola right? Aisee aliluka kunihug tukachekaa chit chat finally akaniambia kua tatizo ni lens ya miwani yangu imekua weak so nibadilishiwe.
Sasa wakati ushauri wa ki dr umeisha tukiwa tunaendelea na chit chat akauliza umeoa? nikamwambia ni long story ila to make it short bado life is full of shit, akawa tu excited n yuko aisee umekua mkaka sana with how you look unapaswa kua mume wa mtu... Nikacheka tuu ila kimoyo moyo niko once a gentleman always a gentleman tukapeana mawasiliano n kuplan kumeet again.
Kiukweli amekua mkali haswa yani those ladies of that kind,self made af kastaarabika na nimemuelewa saaana nahisi nikikaa hapa moyo wangu utapoa na ntafika mbali.
Muda huu hapa nachati nae namchombeza kama haniamini amini hivi ila dizaini amenielewa pia maana ana vijimaswali flani hivi vinanifanya natabasamu kila text ya whassap ikitua kwenye simu yangu.[emoji56] [emoji56].
Vipi waungwana Yawezekana hii ndio karata yangu chanya, maana ni muda mfupi ila nimetokea kumuelewa vibaya sana huyu dada af kilichoniua zaidi amekua mzuri haswa,
Nishaurini wadau nichangamkie fursa maana daaah si kwa uzuri ule na ustaarabu ule yani niko salama mpaka rohoni[emoji56] [emoji56].
Hakuna kilicho kikuu kuu kilikua hivyo tangua awalikipya kinyemi
basi sawa mkuu wewe chombeza tuHakuna kilicho kikuu kuu kilikua hivyo tangua awali
Hapo sasa umenenabasi sawa mkuu wewe chombeza tu
ha a hahahaHapo sasa umenena
Tumeplan kumeet karibuni utapata mrejesho wa uhakika kakaClassmate wa primary mpaka kawa daktari ni miaka mingapi hiyo hamjaonana? Na kwa uzuri wa sura unaomsifia, kaonwa na wangapi?
All in all utatupatia mrejesho baada ya kuvaa miwani mkuu
Kaka tamaa haiko hapa sio mahala pake ila amini amini nachokwambia huyu binti ni mrembo haswa kaka kama mambo yakienda inavyo paswa kaka hapa ni penyewe panafaa kuitwa usingizindugu Umempenda Au Umemtamani?
Watu siku hizi wanashindwa kutofautisha, Kupenda na Kutamani.
Kupenda ni tofauti na kutamani. Watu wengi leo wanaoana kwa kutamaniana na siyo kupendana.
Ndiyo maana ndoa nyingi Azidumu ni matokeo ya Kutamaniana na siyo kupendana.
Hivyo ni vyema ukajichunguza kwanza ndani ya Moyo wako Je! Unampenda Au unamtamani!
Usijekuta unamtamani na siyo kumpenda mwisho wa siku baada ya kupata unachokitaka kwake unamwona wa kawaidatu.
Kumbe ndiye hahahaHahahahahaha umdhania siye
Unafikiri tunapenda harufu za mahospital zinatokeagaSikupendini mnaopigaga story kwa doctor....
Dah kweli mapenz uchizi, kwa iyo unajikuta unatabasam na cm maskindizaini amenielewa pia maana ana vijimaswali flani hivi vinanifanya natabasamu kila text ya whassap ikitua kwenye simu yangu.
Haijawah kukutokea hiyoDah kweli mapenz uchizi, kwa iyo unajikuta unatabasam na cm maskin