UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,885
- Thread starter
-
- #101
Kwanini kakaTamaa zako tu
Unahisi wasio na tamaa wanabehave vipiTamaa zako tu
We jiachie bwana, maisha yenyewe mafupi haya.atoto yani ile text ikifika tu unajua ile kwenye trafic jam wa mbele yako keshasogea kuna bonge la gap ila we uko mbali kutext back hahha haha
DestinyUtakufa wew toka mlivo achana enz za primary mpaka nw ina maana hatazamwi na watu ka unaona ni bahat faster changamkia tenda
Hahahaaaaa!! Chezea kuchizika! Unajikuta unatabasamu tu ukimkumbuka, mapenzi haya jamani.
By the way how is he?[emoji12]
Wishing you the best of luck hun.He is doing fine mom,kuna sehemu nilionaga uliniuliza nikawa busy sikujibu tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo umenichekesha sana.Nifah kwa kujifanya nguli wa haya mapenzi emb potelea insta
So one in million kaka umetisha sana asante ka ushaurilove at first sight hyo hutokea sana na ikichangiwa ni muda mrefu hamjaonana kila mtu ana hamu na story nying juu ya mwenzie take your time bro dont rush too deep inawezekana ana maisha yake ya mahusiano tayr so chukuen muda kusomana kwanza.... ukienda haraka sana unaweza kumpeperusha ndege mwenyewe.....
Swali ni KAMA YUMO HUMU JF ITAKUAJE?
Same to you sweetheart [emoji7][emoji7][emoji11][emoji11]Wishing you the best of luck hun.
Usicheke mpaka wakakushangaa, just alil bit...of all that thanks kwa ushauri wa kikongwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo umenichekesha sana.
Nope...sio kujitia unguli,unachopitia sasa ni hali ya kawaida.
Wengine tumeshapitia/tupo huko [emoji12]
[emoji126][emoji126][emoji126]
Tulia dogo kimeta. Hongera kaka, nasikia nowadays nywele kichwani kwako zaota tofauti na enzi hizo za ujima.Ulifanya kosa hujamuuliza na yeye vipi
Au unadhani macho yako tuu yanaamini ni mzuri wengine hawamuoni
Au ni mbaya macho yako mabovu yanazengua maana nina mchizi wangu anaitwa jose anavaa miwani anaweza toka amekurupukaa na mihemko nico kuna bonge la mtoto nikienda kucheki naona kawaida tuu
Ushauri nitumie picha yake pm nidhibitishe uzuriwake au mkutanishe na jamaa asie vaa miwani ... Amdhibitishe...
Waliokupa ushauri uende hapo nao wanammezea mate so competition is real[emoji23] [emoji23] usije kujaribu kumuuliza eti kaolewa au vp? Wewe buruza tuuHahaha nimepata nguvu with her response
Niko makini vibaya tena nna adabu zote aisee hapa mbna nimekoma haha n ThanksDuuh hongera mana si kwa kufurah huko...kua makini usije tendwa tena kama yule wa previous
Usijiingize mzima mzima mana apo kama vile ufaham ushahama
Hahaha competition is real so usijali kaka this time Gentleman katika ubora wakeWaliokupa ushauri uende hapo nao wanammezea mate so competition is real[emoji23] [emoji23] usije kujaribu kumuuliza eti kaolewa au vp? Wewe buruza tuu
I meant to write: self made