Ulifanya kosa hujamuuliza na yeye vipi
Au unadhani macho yako tuu yanaamini ni mzuri wengine hawamuoni
Au ni mbaya macho yako mabovu yanazengua maana nina mchizi wangu anaitwa jose anavaa miwani anaweza toka amekurupukaa na mihemko nico kuna bonge la mtoto nikienda kucheki naona kawaida tuu
Ushauri nitumie picha yake pm nidhibitishe uzuriwake au mkutanishe na jamaa asie vaa miwani ... Amdhibitishe...