Daah Nimefika Dar es Salaam mbona sifa nilizozipata ni tofauti

Good People

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
945
Reaction score
1,819
Wakuu nashukuru Mungu nimefika Dar taangu juzi lakini Sifa tunazozisikaga ni Tofauti kabisa Leo nimeweza kukatiza mitaa ya Karikoo Nimeshangazwa na Majitaka/Mavi yalivyozagaa mitaani Jana nilitembea Baadhi ya Mitaa inasikitisha.


 


Ni kawaida hiyo Dunia nzima ni hivyo, unachokisikia siyo uhalisia, ukifika utashangaa!
 
Wewe ulisikia sifa zipi?! Mbona ITV kila mara wanaonesha hizo 'chambers' zinazotema kinyesi!! Mbona kila mara mafuriko yanaonekana!! Hebu eleza vzr 😱😀
 
Hata ukifika motoni utakushangaa hivyo hivyo kama ibilis jinsi anavyokudanganya
 
Bro haiwezekani katika mkusanyiko wa watu zaidi ya mil 6 wote wakawa level ya juu. Kuna average joes na mafukara kabisa. Hii ni global trend, hapo Nairobi kuna maeneo kama Eastleigh na na Kibera slums, ukifika unaeza ukatoka machozi wanadamu wanaishi kama mende, lkn tunaambiwa Kenya ni 2nd world country.

Izunguke Dar ufike maeneo ya watu wa average kama salasala, uende maeneo ya wenye nazo huko kunduchi, ufike city centre nk. Hizi picha hapa chini zote ni Dar.
Na hautaamini kuwa hapa ni Detroit, Marekani
 
Ungeshukia pale kwa Katerero pale baharini au kule kwa daud bashite seneta wa jiji kutoka kolu mi jei
 
Umeshukia hotel gani?
Ndugu au jirani?
Mshkaji
Na anaishi wapi
Uchafu kawaida unaonyesha watu wanazalisha taka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…