Dada aliyeacha usister tumekuja kufuatilia kumbe alifukuzwa kutokana na vurugu zake na eti anataka kubadilisha dini aolewe na muislamu

Waitwao ni wengi lakini wateule ni wachache (Matayo 22:24)! Unapanda ngano shetani anapanda magugu katikati ya ngano (Matayo 13:24-43)! Kwenye kundi la kondoo kuna mbuzi (Matayo 25:31-33)! Haya yote ni kwa mujibu wa maandiko!
 
Nyie ni wajinga sana kwa nini mnawalazimisha watu waishi bila kugegedwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…