Dada anatafuta kazi ya mgahawani au dukani

Dada anatafuta kazi ya mgahawani au dukani

igihumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
529
Reaction score
483
Wakuu poleni na majukumu. Tafadhali sio mimi mpangaji mwenzangu. Alikuwa anafanya kazi kariakoo kwenye duka la nguo ila kwa sasa biashara haiendi vizuri bosi imebidi asimamishe biashara huyu dada sasa yupo nyumbani hali ni ngumu.

Tafadhali kama una nafasi iwe kwenye mgahawa au dakani msaidie binafsi msaada nilio mpa ni kufikisha hitaji lake hapa.

Kwa atakae wiwa au mwenye uwezo wa kumshika mkono aje pm nitampa mawasiliano yake.
mwanamke.

Makazi temeke
Umri miaka 25
 
Km anaweza kukaa kijijini nataka nifungue mgahawa, aje Tabora
 
AddText_09-26-09.34.10.jpg
 
Back
Top Bottom