Dada anayetangaza pamoja na Sami Missago kwenye enewz ya eatv ni shida

Raha ya nyumba bana kibaraza yaani huwa nakiwaza kibaraza had naishiwa poz yaan nyumba inaweza ikawa ya 35m uliza gharama za kibaraza chake sasa utakuta inakaribia 10m ukiuliza ni cha kaz gan wakat hata hulalipo wanakuambia kinapendezesha nyumba.....
 
Wewe sijui umemuona ona vipi mpaka ukaipata picha, mimi kila siku nikimuangalia camera haimchukui mzima inamchukua pasport size.
-Hebu mwenye picha zake zaidi azilete hapa fahari ya macho.
*au insta anatumia jina gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…