Dada anayetangaza pamoja na Sami Missago kwenye enewz ya eatv ni shida

Hata mm nampenda sana huyu Dada, napenda utangazaji wake.
 
we jamaa wewe?

Pakistan launches a rocket to Moon.
Pakistani News channel reports:
"Water and fish found on Moon."

BBC reports: "Pakistani satellite found in Arabian Sea."


( Jambazi , 2016)
Kwann mkuu jaws jamaa kama wangekuwa wanapita hapa jf kichwa changu halali kwao
 
*Shukran sana mkuu
*Ubarikiwe sana mkuu
*Mungu akupe afya
*Mungu akujaalie uzima
*Akuepushe na maradhi
*Akujaalie familia bora
*Kila aliekudhamiria mabaya yasikupate
*Akufungulie rizki zako akufanyie wepesi
[emoji2] [emoji23] [emoji23] mkuu hapo umepewa jina analotumia insta umeshukuru hivyo ukikutanishwa naye live itakuwaje?
 
*Shukran sana mkuu
*Ubarikiwe sana mkuu
*Mungu akupe afya
*Mungu akujaalie uzima
*Akuepushe na maradhi
*Akujaalie familia bora
*Kila aliekudhamiria mabaya yasikupate
*Akufungulie rizki zako akufanyie wepesi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu leo umeua
 
*Shukran sana mkuu
*Ubarikiwe sana mkuu
*Mungu akupe afya
*Mungu akujaalie uzima
*Akuepushe na maradhi
*Akujaalie familia bora
*Kila aliekudhamiria mabaya yasikupate
*Akufungulie rizki zako akufanyie wepesi
Umetisha kiongozi
 
Nyie ndo mnawapa wachina biashara.. Ila ndo wabantu tulivyo.. Twendeni Tutafika tu...
 
Mimi sikuwahi kujua kama ana mzigo kiasi hicho, camera isirudie kumchukua huko atatupa shida wanaume wakware
 
Nilichogundua EATV katika kuibua vipaji bora vya watangazaji ni balaaa ..

Kuna TV na Redio moja kazi yao kubwa ni kuiba watangazaji wa EATV
 
Nilitaka kushangaa habari kuhusu yeye haijafika huku hadi leo.
Hawa ndio wanaume zetu [emoji17]
Mimi huwa namuona kawa tvshow hawezi na hana mvuto wa kipindi. Kumbe wengine wameshaona mauno na umbile! Duuh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…