Dada angu anatafuta kazi mpishi mzuri wa vyakula vya mgahawani hotel

Dada angu anatafuta kazi mpishi mzuri wa vyakula vya mgahawani hotel

nyasangaboy

Senior Member
Joined
Jul 14, 2020
Posts
127
Reaction score
58
Habari zenu wadau,

Nina dada angu anatafuta amesomea mambo ya hotel so ni mpishi mzuri.Mbali na hlo pia anaweza kufanya kazi kama dukani na nyingne za halali.

Kwa mawasiliano niibox ili nikuunganishe nae.
 
Habari zenu wadau,

Nina dada angu anatafuta amesomea mambo ya hotel so ni mpishi mzuri.Mbali na hlo pia anaweza kufanya kazi kama dukani na nyingne za halali.

Kwa mawasiliano niibox ili nikuunganishe nae.
Anatake bei gani?
 
Habari zenu wadau,

Nina dada angu anatafuta amesomea mambo ya hotel so ni mpishi mzuri.Mbali na hlo pia anaweza kufanya kazi kama dukani na nyingne za halali.

Kwa mawasiliano niibox ili nikuunganishe nae.
anataka shilingi ngapi kama mshahara
 
Habari zenu wadau,

Nina dada angu anatafuta amesomea mambo ya hotel so ni mpishi mzuri.Mbali na hlo pia anaweza kufanya kazi kama dukani na nyingne za halali.

Kwa mawasiliano niibox ili nikuunganishe nae.
Ni mzuri wa kutengeneza vyakula gani? Seafoods, Chinese cuisine, continental, vyakula vya Kiswahili, Kihindi au?
 
Habari zenu wadau,

Nina dada angu anatafuta amesomea mambo ya hotel so ni mpishi mzuri.Mbali na hlo pia anaweza kufanya kazi kama dukani na nyingne za halali.

Kwa mawasiliano niibox ili nikuunganishe nae.
Nilitaka kumsaidia dada yako kwa vile ww mwana Jf umemuombea kazi.
Naona kimya.
Basi mwambie atume cv yake hapa:
patiotanzania@gmail.com

Atapambana na wenzake kwenye usail.
Fursa sawa kwa wote
 
Nilitaka kumsaidia dada yako kwa vile ww mwana Jf umemuombea kazi.
Naona kimya.
Basi mwambie atume cv yake hapa:
patiotanzania@gmail.com

Atapambana na wenzake kwenye usail.
Fursa sawa kwa wote
D4F6376E-91FF-4C96-AA31-FA756CAB76DB.jpeg
 
Back
Top Bottom