kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Jiweke sawa kisaikoloji 😀Et eeh 🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiweke sawa kisaikoloji 😀Et eeh 🙄
Hapana mkuu mimi huwa hela natoa bila kumchungulia mtu uchi wake nimesoma shule za seminari nazingatia somo la sadaka!Mkuu,
Isije kua huyo njemba ndio wewe mwenyewe... hahaha 😂 unajipakulia minyamaa
23HP kakutana na mashine ya 340HPDada gani wa sasa asiye na uwezo wa kuhimili
Ile si elastic sawa na chatu kutanuka kummeza ng'ombe23HP kakutana na mashine ya 340HP
Anasema pumzi ilikata ina maana jombaa alizungusha kiunoni kama mkanda.....Dada gani wa sasa asiye na uwezo wa kuhimili
Ishu ya pumzi ni ya mkandamizo wa kifuani na sio mgandamizo wa chiniAnasema pumzi ilikata ina maana jombaa alizungusha kiunoni kama mkanda.....
CHAI YA KITOTO WE MTU WA TATU UNASIMULIA MWENZIO ALIANZIA FACEBOOK WEWE UMELETA JFHaya makitu ya wazungu na habari za kupenda mambo usiyo na uwezo nayo .....usiku wa jana kuamkia leo kuna varangati limeanguka dada ametoka mbio na pichu mkononi ndani ya uga wa guest kati kati ya jiji ni aibu ni ....baada ya kushindwa kuhimili ukubwa wa pongoo ya njemba....dada ilibidi akimbilie kwa walinzi wa jirani na jengo la guest hiyo kumuokoa. ...walifanikiwa kumrudisha guest na kuchukua nguo zake...akisimulia kwa ufupi sana anasema njemba iling'ang'ania kuzima taa ndipo dada alipohisi kama anasokomezwa joka la sawaka na kuhisi pumzi zinakata na uwezo wa kukata kiuno pia haupati kwa ukubwa wa pongoo mwisho wa simulizi yake nasi tulimuacha akitafutiwa usafiri wa kumfikisha kwao mbezi jogoo kama alivyodai ndiko anakoishi na dada yake...yote hayo yakifanyika njemba nayo iliteleza kama kambare kwa kuchukua usafiri wa boda boda na kutokomea kusikojulikana....sikuchukua picha kulinda utu wa yule dada ila inasikitisha dada zetu usikutane na jitu tu ukakubaki kutoka nalo jiridhishe kwanza......
Hiyo yako ya facebook sijui nazungumzia kitu nilichokiona!CHAI YA KITOTO WE MTU WA TATU UNASIMULIA MWENZIO ALIANZIA FACEBOOK WEWE UMELETA JF
Nitafute kwa muda wako mimi mwenyewe ninayo hiyo chai bora ya maziwa ukirudi hapa utahadithia vyema!Chai Bora