Dada aponzwa na gauni jekundu la valentine atoka nduki Guest house kisa njemba imejaliwa!

Dada aponzwa na gauni jekundu la valentine atoka nduki Guest house kisa njemba imejaliwa!

B 52
 

Attachments

  • Screenshot_20250214_092422.jpg
    Screenshot_20250214_092422.jpg
    317.3 KB · Views: 2
Kinadada muwe mnatembea na tape measure kupima sentimenta kabla kabla hujakubali kupokea compliment
 
Haya makitu ya wazungu na habari za kupenda mambo usiyo na uwezo nayo .....usiku wa jana kuamkia leo kuna varangati limeanguka dada ametoka mbio na pichu mkononi ndani ya uga wa guest kati kati ya jiji ni aibu ni ....baada ya kushindwa kuhimili ukubwa wa pongoo ya njemba....dada ilibidi akimbilie kwa walinzi wa jirani na jengo la guest hiyo kumuokoa. ...walifanikiwa kumrudisha guest na kuchukua nguo zake...akisimulia kwa ufupi sana anasema njemba iling'ang'ania kuzima taa ndipo dada alipohisi kama anasokomezwa joka la sawaka na kuhisi pumzi zinakata na uwezo wa kukata kiuno pia haupati kwa ukubwa wa pongoo mwisho wa simulizi yake nasi tulimuacha akitafutiwa usafiri wa kumfikisha kwao mbezi jogoo kama alivyodai ndiko anakoishi na dada yake...yote hayo yakifanyika njemba nayo iliteleza kama kambare kwa kuchukua usafiri wa boda boda na kutokomea kusikojulikana....sikuchukua picha kulinda utu wa yule dada ila inasikitisha dada zetu usikutane na jitu tu ukakubaki kutoka nalo jiridhishe kwanza......
CHAI YA KITOTO WE MTU WA TATU UNASIMULIA MWENZIO ALIANZIA FACEBOOK WEWE UMELETA JF
 
Watu wanakutana na maumbile ya kustaajabisha huko kuta nne. Hata sisi Me kuna wakati unajisemea, duh hii ni oversize kwangu.
 
Mwanaume akitaka Shoo, Mtinyama wake Utasimama na kua mgumu tayari Kwa Shoo

Mwanamke akipandwa na NYEGE;
Uke utakakamaa, mashavu ya uke yataonekana kuvimba/kuongezeka ukubwa

Uke utalowa

Kinembe kitakakamaa na kua kigumu kiasi

Mapigo ya moyo yatakua Kasi na kuhema kwake kutakua sio Kwa kawaida

Chuchu zake zitakua ngumu kiasi tayari kushikwa shikwa na kunyonywa

Hisia zake zitadhihirika hadi usoni, Uso wake utaonekana kulegea na macho ya kulembua ama kusinzia

Mdomo wake utaanza kutoa sauti za miguno na vilio vya raha kuashiria yupo tayari hawezi kuvumilia tena kuikosa shoo

Wakati huo kila kitu kinachoweza ingia ukeni kwake humvutia

Ndio maana wengine huvamia Chupa, tango, karoti, vidole, midoli ya uboo n.k 😅😅

Wakati huu, Anasahau aliyokatazwa na kuaswa yote na Wazazi/Walezi wake

Ndio maana wengine hutoroka kwao na kuufuata Mtinyama 🍆Kwa maboi zao😅😅

Hasikii wala haelewi hadi NYEGE hizo zikunwe zimtoke

*****""""******
 
Back
Top Bottom