Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mkataba upo mezani kwa Yanga pia,babra kaona Yanga wamekodisha ndege ya atcl kwenda nayo nigeria ndio kafosi watangaze haraka wa mikia ili ionekane hapo baadae Yanga kawaiga mikia
Ni manara mwenyewenakuona kama vile una vinasaba vya Manara [emoji16][emoji16][emoji16]
Timu ilikuwa vizuri sana kwakuwa msimu uliopita ilitoka kufika hatua ya robo fainali ila baada ya kuingia tu huyu Senzo wako hata hatua ya makundi haikufika,hamna kitu pale yule ni mtalii amekuja kujifunza kiswahili bongoKwaiyo kipindi cha senzo professionalism haikuwepo ndo ujinga mlioaminishwa, na kipindi simba inatolewa na ud songo unakumbu kumbu ilikuwa kwenye mazingira gani ambayo timu ilikuwepo?
Yes vidogo Ila wangapi wamefanyikiwa kupata huku tunavilabu Zaid ya 15 VPL ijayo?Vitu vidogo sana hivyo ata mwinjaku angeweza kufanya hicho tena zaidi yake, hakuna kipya apo bimdada anavyopenda attention anaweza akajisifu kweli kuwa ni kichwa kumbe empty tu
Wivu unakusumbuaVitu vidogo sana hivyo ata mwinjaku angeweza kufanya hicho tena zaidi yake, hakuna kipya apo bimdada anavyopenda attention anaweza akajisifu kweli kuwa ni kichwa kumbe empty tu
Nasikitika yanga watakuwa wanapanda ndege kwenda mwanza, bukoba, iringa na mbeyaHuo mkataba upo mezani kwa Yanga pia,babra kaona Yanga wamekodisha ndege ya atcl kwenda nayo nigeria ndio kafosi watangaze haraka wa mikia ili ionekane hapo baadae Yanga kawaiga mikia
Unakataa mkataba wa Azam TV wenye Mzigo mnene unakubali mkataba wa ATCL wenye Mzigo kiduchu,Inafikilisha sana. Hawa Hindi janja janja Tupu,hovyo kabisa .Kila unachokiona kinafanyika kwenye Simba utawaona mbelembele Babra au Mo.Janja janja Tu
Makolokolo yanaongezeka kwenye jezi.Hatariiidah kwa hiyo Barba anaizidi Nguvu serikali kupitia ATCL kuwalazimisha watangaze tena ofcn kwa ATCL
na nimemsikia CEO wa ATCL kasema
vilabu vingine vinakaribishwa kuleta proposal kama Yanga wangekuwa kwenye mazungumzo kusingekuwa na cha kuficha maana sio dhambi..
hata CEO wa ATCL kasema anawaahukueu simba kwa uvumilivu toka Mwez wa Nne walikuwa wameanza mazungumzo leo mwez wa tisa .. sasa Yanga kasafiri mara ngapi toka mwez wa nne kwa nn asingelazimisha kipind hicho
anyway Mi naona hata club zote zikiingia mkataba wa namna hiyo ni sawa.. sababu ukiangalia huo mkataba faida kwa club ni kupunguza gharama sio kwamba ATCL atampa simba pesa ila Simba gharama zao za Safari zitapungua kutokana na tiket za bure na tiket za discount
kama walikuwa wanatumia 100m average kwa safar moja basi wanaweza wakajikuta wamepunguza hadi 70m kwa safar na wakipata milage kwenye vipeperushi vya ATCL na matangazo yake
huku ATCL nao wakipata Milage kwenye vipeperushi vya Simba na matangazo yake na pia wakijihakikishia wateja wakudumu kwa
miaka miwili..
Janja janja Tupu,hawajawahi toa Taarifa ya mapato na matumizi ya klabu ya Simba.Haujulikani inakusanya mapato kiasi gani na matumizi yake yako kiasi gani.Hawa wahindi wanatuchezea akili ujanja ujanja tu.Uwekezaji wa kitapeli.Inapendeza sana...
Mo na Babra wala si klabu ya Simba.Waambie wakupe Taarifa ya Mapato na matumizi ya klabu,utapigwa chenga mpaka utasahau kuuliza
[emoji23][emoji23][emoji23]Mo na Babra wala si klabu ya Simba.Waambie wakupe Taarifa ya Mapato na matumizi ya klabu,utapigwa chenga mpaka utasahau kuuliza
Kwa wenye uelewa wala haitufikirishi. Unalinganishaje udhamini wa kampuni ya kurusha matangazo ya mechi na kampuni ya usafiri wa anga? Kwani zinafanya shughuli moja inayofanana?Unakataa mkataba wa Azam TV wenye Mzigo mnene unakubali mkataba wa ATCL wenye Mzigo kiduchu,Inafikilisha sana.
Tatizo lenu hamfanyi kazi kwenye ofisi zenye mifumo rasmi. Taarifa ya mapato na matumizi hutolewa mara moja kwa mwaka, mara nyingi katika mkutano mkuu, isipokuwa kama kuna mahitaji maalum kama vile ukaguzi. Sasa kama huwa hauhudhurii mkutano mkuu, basi hauna uhalali wa kuhoji, maana maswali na majibu yote hutolewa ndani ya mkutano. Yaani unataka Septemba hii upewe taarifa, au huelewi maana ya annual report? Au unadhani ni duka la mangi hilo ambalo vitu vinahesabika kabatini?Mo na Babra wala si klabu ya Simba.Waambie wakupe Taarifa ya Mapato na matumizi ya klabu,utapigwa chenga mpaka utasahau kuuliza
Mkuu zanzibar kwenu hakuna team za kushabikia?Mo na Babra wala si klabu ya Simba.Waambie wakupe Taarifa ya Mapato na matumizi ya klabu,utapigwa chenga mpaka utasahau kuuliza