dada huyooo....anaolewa...mahari ishatolewaaaa

Nafasi ya mpiga drums ni yangu sitaki ugomvi na mtu kabsa.

nashukuru sana lusambo,nakupandisha cheo pamoja na kupiga drums pia utakua mwenye kiti wa kamati ya muziki na burudani naamini utahakikisha watu wanapata ladha kamili, wacheza ngoma wote watapewa dawa za kulainisha viuno kabla ya kuingia ukumbini
 

Deal done,Mtende,na mie nilijua tu kama ndio kutoka kule kaskazini ambako mtoto akizaliwa leo akisigikia coin imeanguka anachungulia sio mchezo.Na dollar mia tukipiga pasu hapo uongo na hasa kipindi hiki cha HANDSOME BOY wa pale BWAGAMOYO kilivyokuwa kigumu mbona deal tayari.
 

Mimi kamati ya Chakula.Machalali yapo?
 

sasa usiniangushe maana hiyo hela nshaipangia matumizi
 
hongeraaaaa. Kumbe na wewe ni Mwali?
Harusi lini? Mi niweke katika watakao pika
Nikiwa huko nachoma maini nakula na ugali.
 
hongeraaaaa. Kumbe na wewe ni Mwali?
Harusi lini? Mi niweke katika watakao pika
Nikiwa huko nachoma maini nakula na ugali.

hahaaa mwali sasa ugali hautakuwepo, anyway ngoja ntakununulia kiroba cha unga ili nisikukoseshe uhondo,wewe utakua mwenye chair kamati ya mapishi,najua utahakikisha wahusika wanakorofisha misosi ipasavyo
 
mie najitolea kupokea zawadi.....

badili tabia haina shaka hiyo sekta nimekukabidhi ila zawadi zangu zote zitakua zimefungwa kwa password na remort ya kufungulia nimeshakabidhiwa,sasa kama umepanga kuchungulia zawadi zangu itakua imekula kwako
 
hahaaa mwali sasa ugali hautakuwepo, anyway ngoja ntakununulia kiroba cha unga ili nisikukoseshe uhondo,wewe utakua mwenye chair kamati ya mapishi,najua utahakikisha wahusika wanakorofisha misosi ipasavyo
Kwa ni ugali ni wa sherehe? Ugali ni sisi wapishi, tunalia jikoni na maini
Huku ukumbini mnakula pilaw na njegere kwa sinia, na rojo ya utumbo.
Halafu reception ndio tunaleta cattering ya hotelini.
 
Kwa ni ugali ni wa sherehe? Ugali ni sisi wapishi, tunalia jikoni na maini
Huku ukumbini mnakula pilaw na njegere kwa sinia, na rojo ya utumbo.
Halafu reception ndio tunaleta cattering ya hotelini.

ewaaaa mwali wew ni mtaalamu sasa usiwe na shaka kamata nafasi yako kila kitu naamini kitaenda sawa
 
shabban usijali nafasi umeipata ila sasa bwana harusi ni bondia na ana wivu kweli, hakikisha unapata mazoezi ya kutosha

.
Na wewe ondoa shaka kwani Bwana Shabban ni mwanariadha mzuri sana! - kwa hiyo huyo Bondia amkimbize mwanariadha si mpaka amkamate ndio aweze kumdunda!

.
 
nafasi zipo full tuelekee ukumbini

bigman kula kitu full, mziki wa kutosha,vinywaji ndo usiseme, ukumbi wenye nafasi kila mtua atajimwaya, mahanjumati ahhh mi sisemi mwali kashaandaa kila kitu sasa anza kunoa tumbo
 
.
Na wewe ondoa shaka kwani Bwana Shabban ni mwanariadha mzuri sana! - kwa hiyo huyo Bondia amkimbize mwanariadha si mpaka amkamate ndio aweze kumdunda!

.
hehehe dotworld kama shabban mwana riadha basi mimi sina shaka maana bwana harusi hana mbio kabisa yeye anajua tu kupiga mangumi
 

Mi niweke kamati ya ulinzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…