Dada huyu ana umashuhuri gani miongoni mwa Gen Z nchini Kenya?

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227


Huyu dada ni nani?? Huyu dada anaumashuhuri Gani miongoni mwa Gen Z??

Inakuwaje pichani hapo amevaa nguo kama za kijeshi??

Vipi tetesi zinazoenea kuwa ameuliwa ni za kweli?

Kwenu wakenya na Gen Z wa Tz wa kwenye keyboard na classmate wangu Bladdley ouna naombeni mkuje na majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…