Mbona watanzania mnapenda sana used.
Gari used
nguo used
simu used
jokofu used
wanawake used
Hta huyo unaemtamani ni USED.
Mmeshazini tayari, mchepuko dah!
Umekariri au unajuwa maana ya wife material?Mwenye huyu mtu kapata wife material kwa kweli!! Sijui ataniPM kama bado hajawa na mwenza! acha niendelee kusubiria
Ivona Kamutu wa star TV?
hana jina...??
Ivona Raymond Kamuntu
Yani wanaume wanapenda wanawake wa kwenye taarifa ya habari na wanawake wanapenda wanaume wa kwenye tamthilia/bongo movie
anakera tu anavyo bana pua
anakera tu anavyo bana pua
Hakuna wa kupona mpaka mapadrii!Maandiko mengine tukiyatafakari sijui nani atapona. Labda vipofu tu, maana ukipita say IFM kila kona unazini tu!
Yaani unatumia fake id alafu bado unaogopa kuwa muwazi???...
Unashindwa kumtaja mtu unayemmaanisha??
"Sasa ndo nn?" nyie watu wa bara mna vichwa vigumu sana! mtoto hana dhambi huyo, ebo!Tehee, ama kweli kipenda roho kula nyama mbichi, asa ndo nini hii?