Dada huyu wa ITV (Magreth Cosmas) mwenzenu basi tu jamani

Mleta thread Hata mie namkubali sana uyo dada kama yupo singo pleaseee ani PM tujadili issues za muhimu katika maisha ya baadae
 
Haya ni ma fikra ya mende aliekunywa sumu!
 
Yaani sana though grownup lakini Ana muonekano mzuri.

By secret admirer N'yadikwa
 
Wewe unaumwa si bure uzi wa namna hii si ulianzisha humu na hupo?
 
Wewe unaumwa si bure uzi wa namna hii si ulianzisha humu na hupo?

Kuna watu huwa hawafikirii hata kidogo...

Yaani anachokiwaza ndicho wengine watachokipata toka kwake...

Hawana muda wa kutafakari...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…