princewilly
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 259
- 528
Ujaelewa nnOk. Sijaelewa bado au nimeingia choo cha kike?
Hiki cha kike asee. Tutoke zetu tuwaache wenyewe choo chaoOk. Sijaelewa bado au nimeingia choo cha kike?
mkuu tuko pamoja sidhan kama Kuna cha kuangalia zaidi ya huyo wa kulia[emoji117] [emoji117] [emoji117]Mimi nipo busy na huyo wa kulia, yaani kushoto kwa AY hayo aliyosema huyo anayeitwa ''Da jide'' mtatusimulia baadae.
Huku naona hapatuhusu mkuu KE ndio wanaenda sawa na humuSijaelewa kitu, ila walau nimeona picha nimeifurahia.
Laiti ungejua....Niko nje ya mada kidogo ila Ay ni ******. Kaacha huyo demu mwenye mguu kama wa Demiss kaoa flat screen
We bado mvulana ukija kua MWANAUME utaelewa ndoa ni nini.Niko nje ya mada kidogo ila Ay ni ******. Kaacha huyo demu mwenye mguu kama wa Demiss kaoa flat screen
Mkuu tafadhali huyo ni shemeji yakoMimi nipo busy na huyo wa kulia, yaani kushoto kwa AY hayo aliyosema huyo anayeitwa ''Da jide'' mtatusimulia baadae.